Recent content by Penologist

  1. Penologist

    Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

    Unawabania vijana iyo vacancy mkuu.
  2. Penologist

    Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

    Umenikumbusha single mother niliye date naye three years back, ila yeye anachura ya maana na mtoto mmoja tu, af kwanini unataka wazee tu?
  3. Penologist

    Je, wajua kuwa Palestina siyo Waarabu? Waarabu halisi ni Saudi Arabia? Je, kwanini vita ya israeli na Palestina itaendelea?

    Wayahudi ni wajukuu wa Isaka kupitia kwa Yakobo usitegemee wakisema Ismail ndiye aliye nusurika kutolewa sadaka. Alafu hajira si alifukuzwa baada ya kuleta dharau kwa bi mkubwa sarah, kama alifukuzwa mtoto akiwa mdogo basi aliyenusurika ni Isaka kwakuwa mtoto aliyepelekwa kutolewa sadaka...
  4. Penologist

    FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

    Leo nitamfundisha yule dunduka namna ya kumfunga mwarabu Yanga daima mbele.
  5. Penologist

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Naona waliyo pata na kuongezewa ni wale welio ambatanisha cheti cha kifo Cha mzazi/wazazi na barua ya sponsorship.
  6. Penologist

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Tembeleeni account zenu mliokata rufaa majibu yameanza kutoka leo.
  7. Penologist

    FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023

    Kwann match imewekwa usiku wa manane?
  8. Penologist

    Usikubali kumaliza Chuo bila skills hizi

    Kwenye nyuzi za elimu mujarabu Kama huu uzi huwapati wachangiaji kabisa, ila mkuu umechimba sana kwenye mambo ya digital marketing kongole kwako, aonaye haambiwi tazama.
  9. Penologist

    Nahitaji kusoma uhasibu, nina cheti cha Kidato cha Nne cha Sita na degree nyingine isiyohusiana na masuala ya kifedha

    Kama hutaki kusoma Bachelor degree ya Accounting au Finance, itabidi uanze na ATEC1 chini ya NBAA hadi ufike CPA.
  10. Penologist

    Nahitaji kusoma uhasibu, nina cheti cha Kidato cha Nne cha Sita na degree nyingine isiyohusiana na masuala ya kifedha

    Kama hutaki kusoma Bachelor degree ya Accounting au Finance, itabidi uanze na ATEC1 chini ya NBAA hadi ufike CPA.
  11. Penologist

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Dirisha la rufaa bado lipo waz hadi leo.
Back
Top Bottom