Huo moto unao chochewa kwa kuwafungulia mashtaka ya uhaini wazalendo wanao tetea Taifa lao hawataweza kuuzima,binafsi nitatoka kwenye maandamano yanayofuata kujiunga na wapendwa tuliowapoteza na ndugu niliyo waona wanakamatwa barabarani kuanzia tar 1 November hadi leo na kubambikiziwa kesi za...
Wayahudi ni wajukuu wa Isaka kupitia kwa Yakobo usitegemee wakisema Ismail ndiye aliye nusurika kutolewa sadaka.
Alafu hajira si alifukuzwa baada ya kuleta dharau kwa bi mkubwa sarah, kama alifukuzwa mtoto akiwa mdogo basi aliyenusurika ni Isaka kwakuwa mtoto aliyepelekwa kutolewa sadaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.