Wayahudi ni wajukuu wa Isaka kupitia kwa Yakobo usitegemee wakisema Ismail ndiye aliye nusurika kutolewa sadaka.
Alafu hajira si alifukuzwa baada ya kuleta dharau kwa bi mkubwa sarah, kama alifukuzwa mtoto akiwa mdogo basi aliyenusurika ni Isaka kwakuwa mtoto aliyepelekwa kutolewa sadaka...
Kwenye nyuzi za elimu mujarabu Kama huu uzi huwapati wachangiaji kabisa, ila mkuu umechimba sana kwenye mambo ya digital marketing kongole kwako, aonaye haambiwi tazama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.