Opobo Jaja
Senior Member
- Aug 16, 2025
- 129
- 166
Kwa hiyo huyo ndugu yuko polisi?
Hawa mazafakas wameshindwaje kutangaza majina ya watu wanaowashikilia? Isitoshe, wanapata wapi authority ya kushilikilia watu indefinitely bila kuwafikisha mahakamani?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wapo watu ambao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa uchunguzi kutokana na vurugu zilizotokea siku ya uchaguzi na kueleza kama kuna mtu hamuoni ndugu yake, afike polisi na kutoa maelezo ambapo atasaidiwa kumpata ndugu yake.
View attachment 3498630
HUyu chai jaba gen z wakikiamsha wamtembelee awamu ya pili inshaalahMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wapo watu ambao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa uchunguzi kutokana na vurugu zilizotokea siku ya uchaguzi na kueleza kama kuna mtu hamuoni ndugu yake, afike polisi na kutoa maelezo ambapo atasaidiwa kumpata ndugu yake.
View attachment 3498630
ujipeleke kwa wauwaji?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wapo watu ambao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa uchunguzi kutokana na vurugu zilizotokea siku ya uchaguzi na kueleza kama kuna mtu hamuoni ndugu yake, afike polisi na kutoa maelezo ambapo atasaidiwa kumpata ndugu yake.
View attachment 3498630
Waliotekwa waruhusiwe kuwasiliana na ndugu zaoMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wapo watu ambao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa uchunguzi kutokana na vurugu zilizotokea siku ya uchaguzi na kueleza kama kuna mtu hamuoni ndugu yake, afike polisi na kutoa maelezo ambapo atasaidiwa kumpata ndugu yake.
View attachment 3498630
Ili ukifika wakuunganishe na ndugu yako 😂
Kwamba huyo uliyemkamata hapajui kwake/nyumbani mpaka ndugu afike kituoni.