Hivi nyie mbona wabinafsi sana? swala ni wote tunataka kuvuka na ndio maana tunakaa foleni, ila hawa wanaovunja foleni labda wana vuta pumzi yao tofauti na sisi. Inauma sana tunawahi kuamka mapema sana mtu anakuja baadae kabisa anaingia geti la kutokea bila hata aibu na kufikiri hawa ninaowapita...
Unategemea nini kama mwanamuziki anaitwa Ikulu na kupewa pesa za sikukuu!!!!! Badala ya kuitwa mwanafunzi bora au wanafunzi kumi bora pamoja na walimu wao wakaonana na mheshimiwa raisi na kukabidhiwa zawadi? Hii inakua ni motisha kubwa sana. Badala yake anaitwa mtu ambae anavalia suruali chini...
Unakuta mtu mweusi tii! yaani mwafrika halisi anafurahia kuitwa mwarabu. Yaani kama ni muuza duka utasikia mwarabu unacho kitu fulani? Nae atajibu ndio mwarabu au hapana mwarabu! Yaani mijuitu hii sijui inanini? wanamuona mwarabu kama kitu gani sijui yaani!
Mimi naona kwamba ni bora kila mtu afuate njia yake. Maana sirahisi tena kumwambia mtu lazima ale nyama iliochinjwa na mtu wa dhehebu fulani. Hivyo basi kula au kutokula ni matakwa ya mtu. kwenye mabucha kuandikwe kwamba 'imechinjwa kiislam' au 'imechinjwa kikristo'. mbona mkuu, kwenye mahoteli...
Swala kama hilo unangoja nini kwenda kutoa taarifa polisi? assume ni mwanao kafanyiwa hivyo utanyamaza? Jamani tuwe wawazi zaidi. Mlipue na shule nayo ijulikani! unadhani utapata faida gani ya kukaa kimya? Mungu kakuongoza umepata taarifa za umyama huo, zitoe hadharani ili sheria ifuate mkondo...
Jamaa mmoja dereva taxi alikodiwa na mama wa kizungu kutoka Airport. njiani mama alimmind jamaa! Walivyofika hotelini jamaa akaona ili ampagaishe yule mama aende uvinza, tena kabla mama hajaenda kuoga. Basi safari ya uvinza ikaanza, lkn jamaa alichemsha maana yule mama alitoka safari ya mbali na...
Lipi jema? yule kaamua kukaa Tanga mnasema, huyu anakwenda kwao kila mara mnasema! kuna watu wanakaa Bagamoyo wanafanya kazi Dar.Basi ombeni aende kwa dadala na bila ya ulinzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.