UAMSHO ina watu wake ndani ya SMZ

UAMSHO ina watu wake ndani ya SMZ

Status
Not open for further replies.
gaidi bwana ingekuwa wakristo wamefanya hivyo wangekuwa weshakamatwa wote... hii ni issue ya kuwabeba beba waislam ili kuficha ukweli... tutawafukuza kwenye mashule yetu, mahospitali yetu na kila kitu chetu muwe mnaenda kutibiwa na kusoma uarabuni.... mkichoma kanisa 100 tunaweza kuyajenga kwa siku tatu... tukichoma msikiti mmoja mtaujenga baada ya miaka kumi.. tena baada ya kuuana nyie kwa nyie... Muulize marehemu Gadaffi.

i just love seeing trolls like u povu likiwatoka ...! absoloutly SPLENDID!!!! yaani! ..... hujui hizo mnazosema hopitali zenu , shule zenu , fungu linatoka serikali kupitia MOU! hazitoki Vatican! .. do ur homework I.DIOT!
 
Mkuu UAMSHO ni zao la Seif Sherrif Hamad, na haya mauaji na mipango yote ni jumuisho la zile safari zake za "ugonjwa" kwenda Uarabuni kwa mfululizo. katika miaka miwili iliyopita.

Ni kweli Uislamu si tatizo hapa na tumeishi kama ndugu na waislamu hata kuoleana kwa miaka mingi tu. Tatizo hapa ni watu wanautumia Uislamu kisiasa, UAMSHO ni CUF na CUF ni uamsho.

Hata hivyo nashindwa kuona ni vipi mabaraza yetu ya ulinzi na usalama wameshindwa kuona kuja kwa haya matatizo ambayo yanaweza kuwa explosive pale upande wa pili ukiamua kuwa enough is enough.

Naona CCM na CHADEMA mmeungana kuisakama ZNZ na wazanzibari.

Naomba wachunguzi wa kille kifo cha mchungaji waangalie pia benk account ya askofu ili kujua mtiririko wa transactions zake na vyanzo vyake vya mapato.

Kuna uwezekano kabisa kwamba hawa viongozi wanashiriki katika MADAWA YA KULEVYA.


 
Serikali hii imekosa uharali! sema tu majeshi yetu nao ni mawakala wa mafisadi na wengine ni mafisadi nao vinginevyo walitakiwa wawasaidie watanzania. Nadhani nimeeleweka, maana katika nchi nyingine ambazo wanajeshi ni wazalendo kweli, hawawezi kuacha nchi iingie katika wasi wasi kama huu kwa sababu ya uongozi dhaifu.
 
Mkuu miaka yote hii kitu ya ulinzi wetu tulikuwa twafanya wenyewe, tena kwa ufanisi mkubwa sana.
Wengine twajiuliza kulikoni?


......

NDIO MAANA ZNZ MKAIFANYA KUWA KITOVU CHA KUPITISHIA DAWA ZA KULEVYA.

NANI ASIYEJUA KWAMBA MAASKOFU WANAHUSIKA NA MADAWA ZNZ? Jeshi la polisi lilisema lina orodha ya hao viongozi.

Naomba watumie ile orodha kuscreen wauaji wa Padri. Msibabaishe umma kwa kusingizia UAMSHO.
 
Nani atamkamata mwenzie kama wahusika ni hawa!?
Maalim Seif Sharif Hamadi - Kinara
Ismail Jussa=========makamu
Ust.Ilunga Hamisi Kapungu=mkuu wa itifaki
Sh.Ponda Issa Ponda======waziri mkuu
Radio Imaan==========Proganda
JK================Nyuma ya pazia atajitokeza 2016 na kutoa yale maazimio aliyopewa Abuja Nigeria
Bilal na S.Wassira======Atasilimishwa
S.Mwema na Musa Ali Mussa-Usalama wa Uamsho na waislamu
Eh! maazimio gani tena hayo??
funguka zaidi
 
Unakuta mtu mweusi tii! yaani mwafrika halisi anafurahia kuitwa mwarabu. Yaani kama ni muuza duka utasikia mwarabu unacho kitu fulani? Nae atajibu ndio mwarabu au hapana mwarabu! Yaani mijuitu hii sijui inanini? wanamuona mwarabu kama kitu gani sijui yaani!
 
Mkuu UAMSHO ni zao la Seif Sherrif Hamad, na haya mauaji na mipango yote ni jumuisho la zile safari zake za "ugonjwa" kwenda Uarabuni kwa mfululizo. katika miaka miwili iliyopita.
.
Kumbe safari za ugonjwa zilikuwa magumashi!!!
 
NDIO MAANA ZNZ MKAIFANYA KUWA KITOVU CHA KUPITISHIA DAWA ZA KULEVYA.

NANI ASIYEJUA KWAMBA MAASKOFFU WANAHUSIKA NA MADWA ZNZ? Jeshi la polisi lilisema lina orodha ya hao viongozi.

Naomba watumie ile ordha kuscreen wauaji wa padri. Msibabaishe umma kwa kusingizia UAMSHO.

Kumbe.
Mbona hamkusema kabla?
 
Unakuta mtu mweusi tii! yaani mwafrika halisi anafurahia kuitwa mwarabu. Yaani kama ni muuza duka utasikia mwarabu unacho kitu fulani? Nae atajibu ndio mwarabu au hapana mwarabu! Yaani mijuitu hii sijui inanini? wanamuona mwarabu kama kitu gani sijui yaani!

Mtu wa hivyo kama hafugi majini basi ana undugu nao. Ukimchunguza zaidi utagundua anafuga midevu
 
Naona CCM na CHADEMA mmeungana kuisakama ZNZ na wazanzibari.

Naomba wachunguzi wa kille kifo cha mchungaji waangalie pia benk account ya askofu ili kujua mtiririko wa transactions zake na vyanzo vyake vya mapato.

Kuna uwezekano kabisa kwamba hawa viongozi wanashiriki katika MADAWA YA KULEVYA.


.........

Kwanza kabisa iwe CHADEMA au CCM, Utaifa mbele na inabidi tumchakaze yeyote anayemuwinda mwananchi.

Zaidi ya hapo, naona wajaribu kumtupia mbwa mnofu ili aende off track! Na hao wazungu wa unga ndio walio choma moto makanisa?

Halafu bila kificho biashara ya madawa ya kulevya inafanywa na wazanzibari wenyewe, wangapi wameuwawa?
Na waraka wa uamsho vipi, umeandikwa na wazungu wa unga?

Bocho jijibu mwenyewe upate kuona uozo unao utetea.
 

NDIO MAANA ZNZ MKAIFANYA KUWA KITOVU CHA KUPITISHIA DAWA ZA KULEVYA.

NANI ASIYEJUA KWAMBA MAASKOFU WANAHUSIKA NA MADAWA ZNZ? Jeshi la polisi lilisema lina orodha ya hao viongozi.

Naomba watumie ile orodha kuscreen wauaji wa Padri. Msibabaishe umma kwa kusingizia UAMSHO.
Inaelekea wewe ni Agent wa UAMSHO( kwa hiyo Al Qaeda) sita shangaa kama unajua zaidi ya uliyoeleza.
 
Mwalimu Nyerere alikuwa mjanja. Alichofanya ni kupeleka wabara kuwa ndiyo wanausalama, wanajeshi na police. The security system now is completely shamble. The UAMSHO and co- are just operating with impunity.

Baba wa taifa viatu vyake ni vikubwa sana.
 
Mimi naamini kuna uhusiano mzuri tu kati ya baadhi waislamu na wakristo huko zanzibar maana kama kuna makanisa tangu enzi hizo na mpaka leo ni wazi hali haikuwa kama sasa...Kinachofanyika visiwani Zanzibar ni ugaidi unaoongozwa na wafuatao
Maalim Seif Sharif Hamadi
Ismail Jussa
Ust.Ilunga Hamisi Kapungu
Sh.Ponda Issa Ponda
Radio Imaan
JK
Bilal na S.Wassira
S.Mwema na Musa Ali Mussa

hao kwenye bold sio wetu hao
 
Tamko la kamishna wa polisi+tamko la Maalim+Jussa="wenzetu waserikalini na walio nje ya nchi wako begakwabega kwenye harakati zetu za kuhakikisha Zanzibar inakuwa huru tokaTanganyika" ndio kinachowapa kiburi uamsho na uzuri wameelezea mwisho wa barua yao!.
 
Serikali ya mapinduzi na Muungano ni wakati wakujichunguza na kuchukua hatua kwa kujiuzulu na wengine kuchukuliwa hatua kwa uchozezi!
 
Kwanza kabisa iwe CHADEMA au CCM, Utaifa mbele na inabidi tumchakaze yeyote anayemuwinda mwananchi.

Zaidi ya hapo, naona wajaribu kumtupia mbwa mnofu ili aende off track!Na hao wazungu wa unga ndio walio choma moto makanisa?

Soma wenzako wenye kupenda utaifa. Huwa sikurupuki:

Halafu bila kificho biashara ya madawa ya kulevya inafanywa na wazanzibari wenyewe, wangapi wameuwawa?
Na waraka wa uamsho vipi, umeandikwa na wazungu wa unga?

Bocho jijibu mwenyewe upate kuona uozo unao utetea.

Soma hiyo habari hapo huwa hatukurupuki, maaskofu wanadeal na biashara ya unga:
''VIONGOZI sita wa madhehebu ya dini wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nchini, wamejitokeza mbele ya Kamati ya Maadili ya Viongozi wa Dini na Haki za Jamii na kukiri kujihusisha na biashara hiyo kwa muda mrefu sasa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi, baada ya kuhojiwa, viongozi hao waliiomba Kamati hiyo kutowataja hadharani majina ama madhehebu yao kwa kuhofia kubezwa kwa madhehebu wanayoyaongoza.

Akizungumza mwishoni mwa ziara yao Zanzibar, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mchungaji William Mwamalanga wa Kanisa la Pentekoste Tanzania, alisema mbali ya orodha hiyo, ipo pia ya watu 18 wakiwemo wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wanaojihusisha na biashara hiyo.

Alisema orodha zote zitafikishwa kwa Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Dawa za Kulevya nchini.


Hata hivyo, Kamati hiyo ya Maadili ya Viongozi wa Dini na Haki za Jamii ikiwa Visiwani, imesifu na kupongeza juhudi za Jeshi la Polisi kwa hatua zao za kukabiliana na ongezeko la dawa za kulevya.''

CHANZO: HABARILEO JULAI 18, 2011
 
Kosa ni Zanzibar kurusiwa kujiita ni nchi, ndio maana koti linawabana hadi Kamishna amechoka kupokea amri toka IGP wa nchi nyingine
 
Soma hiyo habari hapo huwa hatukurupuki, maaskofu wanadeal na biashara ya unga:
''VIONGOZI sita wa madhehebu ya dini wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nchini, wamejitokeza mbele ya Kamati ya Maadili ya Viongozi wa Dini na Haki za Jamii na kukiri kujihusisha na biashara hiyo kwa muda mrefu sasa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi, baada ya kuhojiwa, viongozi hao waliiomba Kamati hiyo kutowataja hadharani majina ama madhehebu yao kwa kuhofia kubezwa kwa madhehebu wanayoyaongoza.

Akizungumza mwishoni mwa ziara yao Zanzibar, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mchungaji William Mwamalanga wa Kanisa la Pentekoste Tanzania, alisema mbali ya orodha hiyo, ipo pia ya watu 18 wakiwemo wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wanaojihusisha na biashara hiyo.

Alisema orodha zote zitafikishwa kwa Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Dawa za Kulevya nchini.


Hata hivyo, Kamati hiyo ya Maadili ya Viongozi wa Dini na Haki za Jamii ikiwa Visiwani, imesifu na kupongeza juhudi za Jeshi la Polisi kwa hatua zao za kukabiliana na ongezeko la dawa za kulevya.''

CHANZO: HABARILEO JULAI 18, 2011
Mkuu Bocho naona umeshikilia unyasi ambao ungependa uwe ukweli kwako peke yako.

Siyo ajabu kuwa kuna watu ndani ya kanisa au misikiti kuna wahalifu vile vile.

Lakini katika hili unakuwa subjective kwa sababu unazozijua.
Sidhanii kwamba umefikia uwezo wako wa mwisho kufukuri na kupambanua kuwa mauaji ya Padre Mushi si moja ya matukio amabayo wewe ungependa ieleweke kama fall out ya biashara ya madawa ya kulevya.

Mtu wa maana atauliza unaficha nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom