everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
dist111 pls taja hiyo shule km kweli umeumia kama mzazi,just imagine ndo kangekua hako kabinti kako ungetulia kimya na kuogopa huo urafiki wenu,damu ya huyo mtoto itadaiwa mikononi mwako kwa kukaa kimya,nami naunga hoja changes begin with you!! Mabadiliko ni mm ni ww,halafu hakuna tena siri hapo bora umalizie tu kufunguka.
Last edited by a moderator: