Na bila huo upinzani tunarudi kule kule
NB: ikumbukwe kuwa bila ya kuwa na upinzani bado wengi wangekua gizan pasipo nuru yeyote, naweza sema kwa hatua ya kimaendeleo tz ni kutokana na upinzan kupaza sauti vilivyo ambayo inawapa mwanga Serikali kujsahihisha ktka utendaji wake, kwahyo wale...
Simaanishi hvyo mkuu, najua unaelewa vyema zaidi kwenyd hilo ila kwa sababu ya ubishi utajitoa ufaham lakin ukweli unao kwa asilimia kubwa. Kuutetea uongo haimaanishi hau ujui ukweli
Watanzania sisi wenyew ndio tunaiua demokrasia kwa ushabiki wa kijinga jinga, ad sasa sioni sababu ya kuwa na upinzani kama demokrasia tunaikiuka kwa ushabik wakati ni dhahiri walio wengi wanataabika.
Liverpool ni moto wa kuotea mbali wakuu, kwenye ukwel tuongee ukweli tu ushabik pembeni , binafs mi sio mshabiki wa liverpool ila wapo vzuri mno na game ya jana inazd kuthibtsha hilo ...... HONGERENI WANA ANFIELD
Kusoma na mafanikio n vtu viwil tofaut kabisa, ajira nowdays n tatzo la kila mahali tz, u av to apply your knowledge in real life , maisha yaendelee ukingoja kuajiriwa kwa ulichokisomea utazeeka na vyeti vyako
Kwa uelewa wangu nadhan ni kwa ajili ya upekee wake tofauti na ilivyo kwa majina ya mwanzo na yakati yanakua yanajirudia rudia hvyo hufanya utambulisho kuwa na utata kwa mfano John wapo wengi na aitoshi kukamilisha utambulisho wa mtu ila ukitumia jina la mwsho mfano Lissu, inaeleweka haraka zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.