Nyamiyaga
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 757
- 588
Doh!Pole sana kwa kuwa King'ang'anizi pia pole tena kwa kuwa utatesa sana moyo wako.
Unapotaka mwanamke wa kuwa nae katika ndoa huna haja ya kumwambia mambo ya upendo mara pesa zinatafutwa, mwanamke aliye tayari na wewe hana haja ya kusikia hilo, anaona mwenyewe.
Na hii bembeleza yako kwa mwanamke inamfanya aone udhaifu wako, wewe kama mwanaume kuwa mwanaume kweli mambo ya MY MY MY uyaache muite kwa jina lake sio my my my My nini au Maimuna!
Huyo mwanamke kwanza anajivunia kukuweka kiganjani kwake nakwambia utapata taabu sana kama hauwezi kufanya moyo uone huyo mwanamke wa kawaida.
Mwisho: Naweza kujua jina lako siku nikisikia mtu kajiua kisa mapenzi nijue kama ni wewe au lah!
My my my maimuna.