canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 858
- 813
- Thread starter
- #21
Asante mkuu nimekusoma vilivyoMiaka ya nyuma kuna mzee mmoja kutoka ukoo wetu aliwahi kuhudumu katika jeshi ila alikuwa na ukatili wa ajabu sana jina lake halikutoka masikio mwa wahanga wake hadi sasa kuna baadhi ya watoto walipata taabu kupitia jina lake.
Faida ni kuwa ukilitumia kwa mazuri litakuwa na manufaa hata kwa vizazi vijavyo.
Ila ukilitumia vibaya unaharibu sana kwa wajao.