Kumbuka haiuzwi kwas wenye umri chini ya miaka 18...Kama hujawahi kabisaaaaa....anza tu na Vi Redds viwili vya chupa. Au kama vipi nikuletee ulanzi toka kwetu Makete?
Kuna taarifa kwamba hali ndani ya Utumishi wa Umma imekuwa ya kutia shaka sana. Ni kwamba imefikia hatua ambayo serikali inashindwa kuwalipa hata mishahara hiyo midogo watumishi wake. Tumeona hapa miezi miwili iliyopita watumishi wengi walituthibitishia hapa kwamba ulipaji wa mishahara umekuwa...
Mkuu nafikiri tatizo linaanzia hapo kwenye unene, 100Kg sio mchezo. Najaribu ku imagine mimi ni nina 32 yrs na 55Kg sasa hizo 100 zitakuwaje. Any way sio swala la option hapo Mazoezi ni LAZIMA. Usiishie tu kumshauri bali uchukue hatua za kmpleleka tena kuwe na program maalum kabisa kwa ajili ya...
Ndio Kamanda Ahmed Msangi. Kama wewe ndio Great Thinker wa CCM basi itakufa mapema kuliko wengi wetu tunavyotarajia. Wenzio tulipokuwa tunasoma Elimu dunia wewe ulikuwa unang'ang'ania tu Elimu akhera matokeo yake hata kiswahili tu kinakushinda....Kajipange upya
Msaidie vizuri jirani yako.... atumie akili zake badala ya akili za kuambiwa. Anapoamua kuondoka ndio talaka au anataka apumzike kidogo? Kama ni talaka ahakikishe amefuata taratibu zote.... awaone viongozi wa dini waongee na mumewe, then wote wawili, kisha kama bado kuna haja ya kutengana aende...
Hilo ni tukio la ngapi? Mumewe kajiteteaje? Yeye bado anaipenda hiyo ndoa? Ukiacha hizo message kuna dalili nyingine mbaya ambazo mumwe kazionyesha kwa Mkewe? Huyo rafiki yako mpaka sasa kachukua hatua gani? Mumewe kaonyesha kujutia au amekomaa? Nijibu kwanza haya maswali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.