fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Mwambie kama hajamshika na mwanamke aendelee naye tu, inawezekana rafiki ya mme wake ame fwd message kwa mme wake ili amsomee...c unajua wanaume wengine hawajaenda shule.
Aisay mimi ndo kama mme wa huyo mwanamke basi ningemuambia brother wake ndo katuma ile message...eti ananionyesha yeye shujaa wa kupenda penda nje :biggrin:
Aisay mimi ndo kama mme wa huyo mwanamke basi ningemuambia brother wake ndo katuma ile message...eti ananionyesha yeye shujaa wa kupenda penda nje :biggrin: