Niliwahi kutest kutoa tangazo gazetin la kusaka mchumba...weeee yani cku gazet limetoka had kufika saa sita tyar nina wachumba zaid ya 260,ilinishangaza sn nikabaki najiuliza....wanataman kuolewa ili kuondoa nux,kwa sababu ya hali ngumu ya maisha au labda wako wengi sn kuliko wanaume bado...
Hakupata alichokitarajia huko alikokimbilia ndo maana anataka kurud kwa gia za kizaman ili uendelee kula mzigo kuwa nae makin huyo atakuingiza kwny majanga bure
Siasa za kitanzania ni kama mchezo wa mpira wa miguu ulivo, hauwez kujipa matumain ya 100% kuwa ss chama flan kimekomaa na kinakwenda kukamata dola, tunachopaswa ni kusubir had mwisho wa mchezo tu, maana matokeo ya hizi siasa zetu huwa ni ya kubadilika any time,halafu tunabaki kupiga kelele tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.