Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
DR. SLAA ANAENDELEA KUWACHANA MAGAMBA NA MAPANDIZI YALIYOMO NDANI YA CHADEMA: M4C nomaa, lazima Watu Watemwe hapa nimeamini Makamanda!
mpe picha huyo pimbi
mbona hata udsm wameona utovu wa nidhamu wa mm group?
mpe picha huyo pimbi
Naomba Picha mkuu,naona unaleta ndoto za alinacha hapa
hapa ndo penyewe sasa!!!!!!
Naomba Picha mkuu,naona unaleta ndoto za alinacha hapa
Tuntemeke, Mimi nipo Kahama ndio kwanza Msafara umeingia na una watu wengi sana .Kwa hivi sasa watu wa mwisho wapo Rocken hill na waliotangulia kwa maana ya wageni Dr na walioambatana nae wako NBC zamani....watu ni wengi sana na Mji wa Kahama Umezizima ile mbaya.....nyimbo za chadema , na vifijo ni vingi.
Dr. anaendelea Kuwachana Magamba!
UONGO MTUPU, TENA MPUUZI KABISA HUYU TUNTEMEKE: Mimi nipo Kahama... Mkutano Unaendelea Mpaka hivi sasa 2po Mkutanoni, Wafuasi, Wanachama, Wakereketwa na Viongozi takribani Elfu Moja na Mia tano Wamefurika katika Uwanja huu!
Halafu we jamaa inaonesha wewe ndo mratibu wa haya matamko wa wanaojiita wanachadema, maana mara nyingi wewe ndo huwa unayaleta kwenye jukwaa. Na hata kwenye hii post umejichanganya, mara chanzo chako kimekwambia, lakini inaonesha uko eneo la tukio wewe mwenyewe.
naomba picha mkuu,naona unaleta ndoto za alinacha hapa
wekeni picha 2one
unasema kuna chanzo kimekutonya,ghafla unasema upo eneo la tukio.huu si upimbi
cc Tumaini Makene na Kurugenzi ya Habari naamini watakuja na ushahidi mzuri tu hapa.
hakuna haja,mana jitu linasema limejulishwa na sosi muhimu,ghafla amefika eneo la tukio