Recent content by Patoshik

  1. P

    Hatimaye arusha tech watoa shortlist kazi kwenu wadau

    cjaiona category ya principal internal auditor II, kwa yeyote ambaye ameiona naomba anipe taarifa. Nimejaribu kusoma tangazo hili kwny web ya utumishi na atc wenyewe bt cjaiona hyo category..
  2. P

    Jamani PSPF wameshaita watu kazini?

    Muulize aliyekufanikisha mpaka ukafanya hiyo oral, taarifa atakuwa nazo tu. Au ndo jembe limeisha makali?
  3. P

    NSSF's second call

    baadhi ya wa2 walicomplain kwamba interview ya kwanza walimiss coz walichelewa kupata taarifa na wengine hawakutumiwa kabisa sms, sasa nssf wameamua kuandaa tena aptitude kwa wale ambao hawakufanya interview bt walikuwa na interest. Kama ww ulifanya bt umepigiwa sasa dat meanz uliomba nafac...
  4. P

    TRA vp?!!!

    Ukisikiliza watu wa humu unaweza ukadata, cjui inakuaje m2 anakuwa anatoa infos ambazo hana uhakika nazo. Watu walioitwa kazini na ni juzi 2 wamepangiwa vituo baada ya kufanya training kwa wiki 1 ni wale walioapply nafac zilizotokaga july 2011 ambozo ni ass tax officers, ass preventive officers...
  5. P

    Bei za bia Arusha na Moshi

    wa2 wa moshi sogea pale ccp ki2 cha buku tu! Kama unanawa...
  6. P

    PhD. ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, ni sahihi?

    Kwa hii cv, m2 unawezaje kubisha kwamba jamaa ni bingwa wa mambo ya kanisani na si kwingineko.. Hana tofauti na maustadhi waliopiga juzuu nyingi.
  7. P

    Nikutonye... wapinzani wanajua fedha haramu zaidi kuliko serikali soma hotuba yao

    so what? Ulitaka waongelee v2 wasivyovijua? Hotuba nzuri..
  8. P

    PhD. ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, ni sahihi?

    bora huyo wa kurudi shule ila ww unahitaji kwenda shule cz t seems like hujaenda shule kabisa, kama unaongea shudu thn u consider t 2 b madini dat means hujaenda shule kabisa.
  9. P

    PhD. ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, ni sahihi?

    Masters ya MBA! Napata taabu kuamini kama ni kwl umefanya hiyo ki2 cz hata kirefu cha MBA hujui.. Hao uliowaelezea wenye diploma, wamequalify kufanya hiyo MBA cz wana professional qualifications i.e CPA(T), CPSP, CPB, ACCA.. Ukiwa na such qualifications huitaji diploma wala degree kufanya MBA or...
  10. P

    Waalimu Waungana na Madaktari katika Mgomo

    Wataishia kuongea huko huko chini chini, hakunaga mgomo polisi wala jeshini, HAKUNAGA..
  11. P

    Waalimu Waungana na Madaktari katika Mgomo

    Wapo wengi 2, wamejaa hapo makongo, jitegemee, kizuka n.k na wengine wapo 2 vikosini hawajapangwa mashuleni
  12. P

    Nafasi za jwtz

    kwa kifupi ni kuwa jwtz hawataajiri kwa mwaka huu wa fedha mpaka mwaka ujao wa fedha, hamjackia kuwa serikali ina ukata wa fedha? so jeshi kuanzia july mwaka huu ndo muanze kutolea macho. Cha msingi muandae 2 vyeti vyenu fresh cz jamaa mchujo wao hawana masihala, ukiwa huna living certificate tu...
  13. P

    Is your work so stressfull? list of topten stresfull jobs in the world

    Nimeshangazwa kuona police officer earns more than corporate executive na military general, hebu kweli 2ambie ni nchi gani hyo?
  14. P

    Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

    Kweli atuambie kama anatania au la!
  15. P

    Madaktari live mlimani tv

    hivi mnafahamu madai ya madaktari? Kwnn wanapiga chenga kuonana na serikali wakiitwa? Wamefanya hivyo 2 tymz, kwanza kwa naibu waziri na jana kwa waziri mkuu.. Wanataka nn hasa? Hebu watuweke wazi. Na nyie serikali kuweni na maamuzi, kama mtawatekelezea madai yao au mtawapiga chini.. Huu mvutano...
Back
Top Bottom