Kumbukeni ni bora kufa kishujaa kuliko kuendelea kuishi kama mtumwa.na maisha ya hapa duniani ni ya mpito tu kuna wa2 walikuwepo na sasa hawapo hvyo tusijidanganye ya kwamba tutaishi milele na huu uonevu ipo siku mungu hatoufumbia macho.walikua wakina firauni wana nguvu kubwa na jeshi kubwa sasa...
Makaffir bwana watoka mapov mengi sabab waona waliozuiliwa ni waislam bila ya kuangalia muktadha wa hili jambo,uislam leo hii wapigwa vita sana dunian ila uwepo wa mungu anailinda dini yke hii mpaka siku ya mwisho,hivyo kaeni makafir mkijua uislam hautoisha kwa majungu yenu hata mkatuua waislam...
Maisha ya duniani always ni yenye kupita na tukae tukijua tutarejea tu siku 1 binafs inaniuma sana na sana na mungu atawachoma moto madhalim wote wanaotegemea mabavu ya dola,,kwani siku 1 watakufa kama wanavyoua wenzao .aaamiyyyyn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.