Duh..waambieni wanawatuma wawe wanawapa angalau point kidogo ili hata mpumbavu akisoma aweze kushawishika kidogo. Hii hoja yako hata wale wajinga wazoefu wanaojulikana JF hawajui waanzie wapi kukusapot!
Ww unafikiri watu wote wameajiriwa? kuna tuliojiajiri, Am own boss!
By the way u aint my type 'airhead'. I neva argue with hypocrites and religious fanatics like u. Koz u aint capable of making any senses.
Huna point..na mfano wako ni irrelevant kabisa.
Mtoto unamzaa, Mungu ndo anayemua aweje, huwezi kuchagua sifa na tabia za mtoto wako..u can just influence them. Hawa watu wanateuliwa kutokana na sifa zao ambazo anayewateua anaamini wanafaa kumsaidia kuendesha serikali. Wanapofanya madudu hawana...
Acha kujificha kwenye hoja zisizo na tija..jibu, huyo Blandina kawekwa na nani, angekuwa Hawa Ghasia,Bilal au Mponda ungethubutu kokoment in favour of this topic?
Kwani humjui huyu?..ukweli huwa anauona kwa watu wenye majina fulani (6, EL, Mengi..). Ingekuwa Dewji, RA au Manji wanatuhumiwa, angekuja na pumba zake kama kawaida!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.