Recent content by PATALI

  1. P

    Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

    Dr. Bana yule msomi kilaza anayenunuliwa kwa sahani ya ubwabwa kuongea pumba!
  2. P

    Vicky Kamata: Mageuzi usiniguse tumeolewa na CCM

    Muulize ritz, FF, rejao, topical, malaria sugu na wengine wanaofanana nao, watakuwa na jibu!
  3. P

    Kuanzia leo wimbo HAKUNAGA naanza kuuchukia..

    Hasakamwi..tunamuelewesha kwamba kwa CCM he is just 'expendable' na anahatarisha sustainability ya mziki wake!
  4. P

    Sakata la mgomo wa madaktari : Mnyika jiuzulu upesi umetuaibisha na kutufedhesha

    Duh..waambieni wanawatuma wawe wanawapa angalau point kidogo ili hata mpumbavu akisoma aweze kushawishika kidogo. Hii hoja yako hata wale wajinga wazoefu wanaojulikana JF hawajui waanzie wapi kukusapot!
  5. P

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    Ww unafikiri watu wote wameajiriwa? kuna tuliojiajiri, Am own boss! By the way u aint my type 'airhead'. I neva argue with hypocrites and religious fanatics like u. Koz u aint capable of making any senses.
  6. P

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    Tuambie jinsi umakini wa NSSF management ulivo tofauti na taasisi zingine za serikali TZ!
  7. P

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    My excellent credentials ndio zimeniweka nilipo!
  8. P

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    Huna point..na mfano wako ni irrelevant kabisa. Mtoto unamzaa, Mungu ndo anayemua aweje, huwezi kuchagua sifa na tabia za mtoto wako..u can just influence them. Hawa watu wanateuliwa kutokana na sifa zao ambazo anayewateua anaamini wanafaa kumsaidia kuendesha serikali. Wanapofanya madudu hawana...
  9. P

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    Acha kujificha kwenye hoja zisizo na tija..jibu, huyo Blandina kawekwa na nani, angekuwa Hawa Ghasia,Bilal au Mponda ungethubutu kokoment in favour of this topic?
  10. P

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    Kwani humjui huyu?..ukweli huwa anauona kwa watu wenye majina fulani (6, EL, Mengi..). Ingekuwa Dewji, RA au Manji wanatuhumiwa, angekuja na pumba zake kama kawaida!
  11. P

    Mgomo wa madaktari ni utovu wa nidhamu - Kibonde wa clouds FM

    Magamba wanamlipia ARV anazotumia, lazima awe upande wao!
  12. P

    Dk Stephen Ulimboka Jembe na Nguzo ya MADAKTARI Nchini

    Kuna anakufahamu..kaniambia ulivokuwa mdogo ulibakwa na babako ndo mana akili si nzuri!
  13. P

    Ujio wa Asha-Rose Migiro----Tafakari kisha weka maneno kwenye hii katuni

    Hajamaliza muda wake..kamwagwa baada ya kuchemsha!
Back
Top Bottom