Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Autopilot, fichuwa madudu. Wako wengi hawa, na hawa wachache wenye tamaa za kupitiliza ndio wanaifanya nchi isitawalike.
Kumbe some time huwa unakuwa fair!
Autopilot, fichuwa madudu. Wako wengi hawa, na hawa wachache wenye tamaa za kupitiliza ndio wanaifanya nchi isitawalike.
Hii ishajibiwa hapo juu na ChademaisthewayMwanzoni mwa mwaka jana wizara ilikuwa na kampeni ya kuhamasisha watu nchi nzima dhidi ya ugonjwa wa ukoma kupitia mabango ya barabarani.
Blandina akatoa zabuni hiyo kwa kampuni ya Jambo Concepts ya Juma Pinto ambaye ni mtu wake wa karibu. Cha ajabu ni kwamba hiyo haina bango lolote la barabarani na yeye anajua hivyo. Ilichofanya kampuni hiyo ni kwenda kutumia mabango ya kampuni zinazomiliki.
Huyo Tutafika anayemtetea kwamba eti huwa anafuata taratibu za manunuzi ya umma ana taarifa hii?
Nipo makini sana hata wewe unajua. Kwangu mimi Adam Malima, Abass kandoro na Hawa mavurugu wote ni mafisadi kama alivyo Blandina.. Kuwa makini kidogo.
Hapo fairness yake iko kwenye nini? Wewe humjui Faiza!!Kumbe some time huwa unakuwa fair!
Mimi na Ikelege ujamaa wetu uko kwenye nini? Mbona hueleweki. Ina maana wewe unamnanga Blandina kwa sababu si "jamaa" yako?Huwezi kutuamnisha kwa kutaja majina tu, hilo sahau.
Tumeona madudu ya blandina yanaanikwa, tumeona madudu ya yule jamaa yenu wa TBS yameanikwa, hayo ndio tunataka, sio majina tu. Kuwa makini kidogo.
Autopilot anataja hayo madudu yanayofanyika ingawa si kwa undani lakini at least anaweka majina ya maduka na kazi walizopewa. Wewe unaweka majina ya watu tu, huoni kuwa hiyo ni ufinyu wa akili na unaonekana hukijui ukisemacho?
Weka jina na kosa alilofanya tuchambuwe kama kweli au si kweli. Usitujaze ujinga.
Mimi nikisema kama Mbowe, kama Slaa kama Zitto, Jee, hapo nimetenda haki au naunganisha tu kuwapakazia , inabidi niseme, kama Mbowe amefanya hiki na haki na hiki. Hata wanaomtetea badala ya kuja na hoja watakuja na matusi kwani wanakuwa hawana cha kukitetea. Kuwa makini kidogo.
Very simpleYes huyu mama anaweza kuwa na ka-UFISADI lakini wekeni record straight
Sasa ebu tufafanule hiyo ASYCUDA ilianza lini mpaka iwe connected na huyu mama
Sijui lengo lako ni nini . Lakini hakuna connection ya huyu mama moja kwa moja na luhanjo sababu alishaanza kukamata vyeo hata abla luhanjo hajawa CS. alishakuwa na vyeo kibao kabla hata ya Luhanjo. uwa CS. so tuwekeni data zilikwenda shule sio kuunga unga mambo bila kuchambua .
Sasa kwa style hii JK akichagua mtu anaitwa Rashid tutasema kachaguliwa sabbau ni wa dini fulani hata kama mtu huyo anafaa.
So chambua perfomnce yake a ufisadi wake acha porojo
Huna point..na mfano wako ni irrelevant kabisa.Kuna watoto wa Wachungaji na Masheikh ambao ni majambazi, wala unga, wizi na uhuni wa kila aina. Jee, hayo ni matarajio ya wazee wao.
Huwezi kumhukumu baba au mama kwa dhambi za mwanawe. Hali kadhalika huwezi kumhukumu mtoto kwa dhambi za mamake au babake.
Kuna watoto wa Wachungaji na Masheikh ambao ni majambazi, wala unga, wizi na uhuni wa kila aina. Jee, hayo ni matarajio ya wazee wao.
Huwezi kumhukumu baba au mama kwa dhambi za mwanawe. Hali kadhalika huwezi kumhukumu mtoto kwa dhambi za mamake au babake.
Kumbe some time huwa unakuwa fair!
Tafsiri tu ukitaka. Mimi na Faiza tunaongea Lugha tunayoelewana wewe kama huijui utakuwa unajionea mauza uza. Huoni Hoja ya Dowans na Symbion imeingia wewe unajua ni kwa nini ameiingiza hiyo hoja kwenye huu mjadala?I support u 100%! maana vinginevyo asilalamike tukimtafsiri vingine.
Ndiyo maana nimemwambia ya kwangu na Faiza, atuachie wenyewe!!Wee Mkuu ni mgeni hapa au wewe ndiyo mwenyewe FF?
Ukiona FF anachekelea mtu kuumbuliwa hapa basi ujuwe huyo mtu ni MKRISTO.
Ama kweli JF ni zaidi ya muvi ya James Bond, haya mwageni mambo tuzidi kuijua Tz zaidi ya tuijuavyo!
My excellent credentials ndio zimeniweka nilipo!Kwani wewe umewekwa na nani hapo kazini kwako, au huna kazi? saa hizi wakati wa kazi una fisadi mitandao na muda wa kazi, aliyekuweka hapo ndio alitegemea hayo kutoka kwako?
Autopilot, fichuwa madudu. Wako wengi hawa, na hawa wachache wenye tamaa za kupitiliza ndio wanaifanya nchi isitawalike.