Sakata la mgomo wa madaktari : Mnyika jiuzulu upesi umetuaibisha na kutufedhesha

Mhe Mnyika, Tundu Lissu, Mdee, Zitto na wengine mlio machachari; changamoto ndio hiyo hapo - mdau Ndugu SISI KWA SISI ndio hivo kakereka mwisho-wa-reli Kigoma.
 
Mkuu unaonekana hujui siasa,hujui kufanya analysis,kwa namna yoyote ile ni ngumu kuuliza swala la madaktari kwasasa kwasababu limekwisha tolewa ufafanuzi juzi na jana...na jana waziri Lukuvi amesema kuwa kauli ya serikali uwa haiwekwi kwenye ratiba kulingana na taratibu za Bunge..kwa hiyo wanasubiri Spika hawape nafasi watoe kauli yao.Sasa kwa upepo huu ni ngumu sana kuanza kuingiza hoja hii,unaweza ukaonekana ni mtu usiyejua utaratibu,haupo makini nk...kwa hiyo mie naunga mkono wabunge wa CDM kukaa kimya kwasasa mpaka watakapo pata kauli ya serikali inayotakiwa kutolewa.

Sasa tutawasubiri mpaka lini na kauli zao wakati watu wanapukutika?
 
Tulisoma tamko la CHADEMA kuhusu kuwaunga Mkono madkatari nchini. wengi tuliamini Mnyika leo angalipanga timu yake kabambe kumbana waziri Mkuu kuhusu mgomo huu. kitendo cha Mnyika kutopanga timu yake bungeni na kumbana waziri mkuu ni wazi mnyika ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine wasiojali maslahi ya watanzania.

Leo madaktari wote waliamini Chadema na makamanda wengine watapata mdomo kupitia Mh Mnyika kama Mbunge na msemaji wa chadema hasa baada article nzuri aliotoa kupitia Vyombo vya habari.
Mnyika yupo bizz na Hoja ya Richmond ambayo anaamini haitaleta tija kwa wananchi. hii italeta tija zaidi na mbio za urais wa CCM na sio madokta na wagonjwa.

Kama Chadema ni wazuri wa kuandika, lkn kivitendo kwa madokta ni kiini macho
Acha kukata tamaa, rudi kazini kama umeishiwa.
 
Na hizo ni bange ya kisimiri arumeru,toka jana wanasema kuna tamko la serikali,kanuni mzeee,pale si chooni,nadhani si kawaida makamanda ku2lia kiivyo.WEWE Badala kusema Mponda ajiuzulu eti unataka Mnyika awajibike kwa lipi? SIASA ZA NAPE BWANA
 
Embu soma sheria na kanuni za bunge kwanza kabla yakutoa thread inayohusu bunge.
 
Mkuu miye naona haelewi ht analosema,hebu na yeye ajiuzulu kazini kwake,km anafanya biashara ht nyumbani if it is so! Ss naona wanavamia tu na kuandika threads out of context!
 
Duh..waambieni wanawatuma wawe wanawapa angalau point kidogo ili hata mpumbavu akisoma aweze kushawishika kidogo. Hii hoja yako hata wale wajinga wazoefu wanaojulikana JF hawajui waanzie wapi kukusapot!
 
Mkulu Chadema swala la madaktari walikuwa wa kwanza kukutana na waandishi wa habari na kulitolea tamko. Suala la Richmond lina tija kumbuka Owner alikuwa analipwa 152,000,000/= kila siku hizo ela zingepatikana sidhani kama madaktari wangegoma kwa sababu chakuwapa kingekuwepo. Hivyo swala la Richmond lina tija, mbunge wangu Mnyika endelea na mapambano achana na vichaa wanaoingilia mtandao wetu wa JF. Peoples Power hakuna kulala mpaka kieleweke.

ukitaka kutoa comment humu utulize mzuka wako wa uongo,Richmond haikuwahi kulipwa hata senti tano japokuwa mkataba unasema ilipaswa walipwe hicho kiwango ulichotaja!
 
Ukatibu mwenez ulimfaa tindu lissu au lema as mnyika yupo too cold,yeye inamfaa kazi ya naibu katibu!
 
mnyika ndo waziri wako wa afya?
Kinachoonekana hapa ni kuchonganisha madaktari na CHADEMA.
Ikumbukwe CHADEMA walishaomba madai rasmi ya Madaktari na takwimu nyingine, wakakakataliwa.
Hii ni kutoihusisha move ya madaktari ichukuliwe na wasasiasa.
Hawa watawasilisha to their advantage.
Mwenye kumaliza mgogoro huu ni Madaktari vs Serikali.
 
Madokta walitaka wasipatiwe msaada wa kisiasa. chadema imeheshimu uamuzi huo.

Ma dr wamekataa ila wananchi hawajakataa msaada wa CDM , wananchi ndio wanaokufa na
wala sio ma Dr ,kama kweli CDM wana nia njema na hii inshu lazima waende hatua mbele ,
mwisho wa siku watz wapenzi wa CDM tutawauliza CDM na wala sio ma Dr..
Mbona inshu nyingine wanatoa mapovu sana ila kuhusu hili unyonge umekua mwingi ?
 
Back
Top Bottom