Nimewahi kuuliza kuwa kuna eneo hapa singida mjni karibu kabisa na substation panaitwa kimpungua hapana umeme halafu ni mjni kwanini tanesco mmeshindwa kupeleka umeme?
We unapata kiasi kwa mwaka acha kulalama hujalazimishwa kusali hapo kwenye jumuiya nenda makanisa mengine yanayotoa sadaka ukisali unapewa,na hela ya bajaji ya kurudi kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.