Elimu ya msingi kuwa miaka 6?

Elimu ya msingi kuwa miaka 6?

nawashukuruni kwa michango ila bado sijapata uhakika wa km ni kweli tutakuwa na miaka 6 y elimu ya msingi..
Kutakuwa na miaka 6 ya shule ya msingi.Pia kutoka darasa la kwanza hadi kidato cha 4 itaitwa "elimu msingi" hivyo watoto wataserereka kutoka darasa la kwanza mpaka kidato cha nne.
 
Upuuzi mtupu,,, badala ya kubadilisha lugha ya kufundishia iwe kingereza,,,,mnahangaika na kubadilisha MITAALA YA MADARASA,,,, itasaidia nn

Upuuzi mtupu,,, badala ya kubadilisha lugha ya kufundishia iwe kingereza,,,,mnahangaika na kubadilisha MITAALA YA MADARASA,,,, itasaidia nn
Utandawazi unatutaka mitaala yetu iendane na mabadiliko yanayotokea duniani. lugha yetu inakua kwa haraka.Tusahau kingereza.
 
nawashukuruni kwa michango ila bado sijapata uhakika wa km ni kweli tutakuwa na miaka 6 y elimu ya msingi..
Uhakika ni darasa la 4 na la 3 wa mwaka huu 2018 wataishia darasa la sita. Hawa wanatumia mtaala mpya wa mwaka 2016 unaotaja darasa la III-VI.


waliopo darasa la 5 mwaka huu 2018 hao watasoma mpka darasa la 7. Wanatumia mtaala wa 2005.
 
nawashukuruni kwa michango ila bado sijapata uhakika wa km ni kweli tutakuwa na miaka 6 y elimu ya msingi..
Jibu ni kweli mwisho darasa la 6 hiyo mbona ilishatangazwa tangu mwaka 2016 saiv walionza na huo mfumo wapo darasa LA tatu
 
Back
Top Bottom