Amani hii ipo tu nafikir ni Mungu Mwenyewe kaamua iwe hivyo.sio Taasisi Wala chama flani.Kama Israel na Mossad na IDF na Taifa Teule kimenuka.Marekani na CIA na FBI Alipigwa sembuse Tanzania na vijana wa kuvunja Tofali pale Uwanja wa Uhuru
Inashangaza sana Aliyeanzisha vita hivyo Tarehe 7/10/2023 Wala hazungumziwi ila anazungumziwa yule Anayetaka kutoa onyo Ili cku nyingine Asirudie Tena kufanya Alichokifanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.