Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,405
- 30,908
Hii hadithi ni tamu na ya mapenzi.
Kuna mtu mjinga anaitwa Polisewa na mwingine anaitwa Jeiwewatezada. Wote ni wenye nguvu na maarifa, ila tofauti Polisewa ni mjinga na asie na misuli kumzidi Jeiwewatezada mwenye akili, weledi, mpole, mtiifu na mwenye kila aina ya nguvu.
Mpaka sasa Polisewa anajitapa kila siku japo matambo yake yanadhihirisha ujinga wake na Jeiwewatezada amekaa kimya anaangalia watoto wake wanavyoonewa na watoto wa Polisewa. Sasa wote ni wazazi wenye uchungu wa uzazi. Swali ni, je Jeiwewatezada atakubali watoto wake waonewe na watoto wa Polisewa?
Fuatana nami katika hadithi hii.
Kuna mtu mjinga anaitwa Polisewa na mwingine anaitwa Jeiwewatezada. Wote ni wenye nguvu na maarifa, ila tofauti Polisewa ni mjinga na asie na misuli kumzidi Jeiwewatezada mwenye akili, weledi, mpole, mtiifu na mwenye kila aina ya nguvu.
Mpaka sasa Polisewa anajitapa kila siku japo matambo yake yanadhihirisha ujinga wake na Jeiwewatezada amekaa kimya anaangalia watoto wake wanavyoonewa na watoto wa Polisewa. Sasa wote ni wazazi wenye uchungu wa uzazi. Swali ni, je Jeiwewatezada atakubali watoto wake waonewe na watoto wa Polisewa?
Fuatana nami katika hadithi hii.