neno ni upanga
Senior Member
- Jun 28, 2022
- 189
- 725
Kwa historia ya Israel na jinsi historia ilivyo, taifa lolote linalotaka ugomvi na Israel halikuwahi kushinda, badala yake waliangukia pua, leo hii Hamas wamechokoza wenyewe, lakini mpaka sasa hasara walioingia ni kubwa mno kuliko wasingelianzisha, pamoja na hicho nchi nyingi za kiarabu wanataka Israel iache kushambulia Civilians people lakini ukiwauliza tofauti ya magaidi na hao civilian people ni ipi hawajui!
Udini umewajaa, na hii ndio shida ya hawa waabudu Allah! Wao wanajiangalia wao tu, nyie mmeteka mateka wa watu mmekaa nao! Halafu mnataka nyie msipigwe kwa nini sasa msiwarudishie mateka wao? Kwani shida ni nini?
Hao hao magaidi wana familia zao, ndugu zao, na hao hao jamaa zao ndio waliokuwa wanashangilia siku ile ya kutekwa kwa raia wa Israel! Leo hii wanalia lia! Kwa nini wasiandamane kushinikiza waisrael kuachiwa ili wao wawe huru!
Ni ukweli usiopingika kuwa hata waarabu wote duniani wakiungana hawawezi kuishinda Israel kwa sababu Israel ni taifa teule la Mungu, na Mungu ( yaweh) huwa anawashindia kila vita yote inayopangwa dhidi yao! Ukiua waisrael 10 jua kwamba watu wako zaidi ya 100 watakufa! Hiyo ni kibiblia, na mpaka leo ipo hivyo!
Hamas waliua watu zaidi ya 1400 wa Israel, kwa hesabu hizo ni lazima wapalestina wafe zaidi ya 14000! Kwa sababu Mungu wa Israel ndiye Mungu muumba mbingu na nchi kwake kuna amani, upendo na furaha, kisasi analipa yeye, yeye hujipigania, hapiganiwi, yeye hujitetea, hatetewi, ndo nchi nyingi za kikiristo zina amani tele, maana yeye akiwapo eneo, eneo hilo linakuwa na amani tele!
Anaitwa Mfalme wa Amani, na Bwana wa vita! Sio hawa wanaosema wanampigania mtume! Wakati huyo mtume yupo hawajui yupo wapi
Tofauti zetu wakristo na waislam zipo hapa! Na ndizo zinazoendelea hata huko gaza
QUARAN AL_ Mumtahana60:1 - Enyi mlio amini! Msiwafanye adui zangu na adui zenu kuwa marafiki mkiwapa mapenzi, na hali wao wamekwisha ikataa haki iliyo kujieni, wakamfukuza Mtume na nyinyi kwa sababu mnamuamini Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu. Mnapotoka kwa ajili ya Jihadi katika Njia yangu na kutafuta radhi yangu, mnafanya urafiki nao kwa siri, na Mimi nayajua mnayo yaficha na mnayo dhihirisha. Na mwenye kufanya hayo kati yenu basi ameipotea njia ya sawa).
Luka 6:27-28,32-33,35-36
[27] Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi.
[28] Wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.
[32] Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
[33] Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
[35] Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.
[36] Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Udini umewajaa, na hii ndio shida ya hawa waabudu Allah! Wao wanajiangalia wao tu, nyie mmeteka mateka wa watu mmekaa nao! Halafu mnataka nyie msipigwe kwa nini sasa msiwarudishie mateka wao? Kwani shida ni nini?
Hao hao magaidi wana familia zao, ndugu zao, na hao hao jamaa zao ndio waliokuwa wanashangilia siku ile ya kutekwa kwa raia wa Israel! Leo hii wanalia lia! Kwa nini wasiandamane kushinikiza waisrael kuachiwa ili wao wawe huru!
Ni ukweli usiopingika kuwa hata waarabu wote duniani wakiungana hawawezi kuishinda Israel kwa sababu Israel ni taifa teule la Mungu, na Mungu ( yaweh) huwa anawashindia kila vita yote inayopangwa dhidi yao! Ukiua waisrael 10 jua kwamba watu wako zaidi ya 100 watakufa! Hiyo ni kibiblia, na mpaka leo ipo hivyo!
Hamas waliua watu zaidi ya 1400 wa Israel, kwa hesabu hizo ni lazima wapalestina wafe zaidi ya 14000! Kwa sababu Mungu wa Israel ndiye Mungu muumba mbingu na nchi kwake kuna amani, upendo na furaha, kisasi analipa yeye, yeye hujipigania, hapiganiwi, yeye hujitetea, hatetewi, ndo nchi nyingi za kikiristo zina amani tele, maana yeye akiwapo eneo, eneo hilo linakuwa na amani tele!
Anaitwa Mfalme wa Amani, na Bwana wa vita! Sio hawa wanaosema wanampigania mtume! Wakati huyo mtume yupo hawajui yupo wapi
Tofauti zetu wakristo na waislam zipo hapa! Na ndizo zinazoendelea hata huko gaza
QUARAN AL_ Mumtahana60:1 - Enyi mlio amini! Msiwafanye adui zangu na adui zenu kuwa marafiki mkiwapa mapenzi, na hali wao wamekwisha ikataa haki iliyo kujieni, wakamfukuza Mtume na nyinyi kwa sababu mnamuamini Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu. Mnapotoka kwa ajili ya Jihadi katika Njia yangu na kutafuta radhi yangu, mnafanya urafiki nao kwa siri, na Mimi nayajua mnayo yaficha na mnayo dhihirisha. Na mwenye kufanya hayo kati yenu basi ameipotea njia ya sawa).
Luka 6:27-28,32-33,35-36
[27] Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi.
[28] Wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.
[32] Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
[33] Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
[35] Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.
[36] Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.