"Root out the corrupters,the corruption will follow and chaos averted" hii gvnt ya CCM wafuate hii ki2 kupunguza malalamiko ya wananchi! Ss wana ujasiri huo??? Lets pray, 'Our Father......deliver us from ever evil.AMEN!!
possibility kubwa itakuwa kuongeza Kasi kubwa zaid ya kuomba misaada nje na kukubali kuwakaribisha wawekezaji(WEZI WAKUBWA) Nchini kuchukuwa maradufu ya wanacho tupa upo hapo!!
Salam kwa wote! Nyumba mbili pamoja na kiwanja cha kutosha zipo MOSHI mjini Eneo la karanga, bara bara ya Moshi Arusha, mkabala na geti la Magereza la karanga Moshi. Kwa maelezo zaidi piga 0789-604755.
Wandugu heshima kwenu! Nilifanyaga mtihani wa kidato cha nne kama 'private candidate' mwaka 1998 pale Old Moshi Sec. Na sikuwah fuatilia cheti kwan nilikuwa natumia summary slip. Ss nahitaji hicho cheti, je niende Old Moshi Sec au Baraza? Regards!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.