Wakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja kwa jina la MFL ltd. Nakopesha vikundi vya wajasiriamali watanowatano kwa kiwango kisichozidi m1. Sasa kamtaji kamekata na wateja ni wengi sana. Karibu tuwekeze.