Recent content by Papaandenga

  1. P

    Inflation ya hatari, Mchele kilo 2800?

    Poleni sana,huku kwetu umeshuka bei toka 2200 hadi kufikia 1500 so karibu Mwanza.
  2. P

    Sitaki kukuumiza ila its over!!

    I'm not a luggage thats why i said so, try me i'm flexible.
  3. P

    Sitaki kukuumiza ila its over!!

    Here i am Phina u wont regret having me aside, i promise.
  4. P

    Sitaki kukuumiza ila its over!!

    We nipe tunamba twako hata sijui unahangaika nini wakati akina Jacobo Zuma tupo hapa wengi tu.me nabeba wewe moja kwa moja.
  5. P

    Sitaki kukuumiza ila its over!!

    Achana nae huyo we bibie Phina, hebu nipe tunamba twako twa sim nukupe njia mbadala, inaonesha una kitu matata unachokosa hapo.
  6. P

    Naomba kujua kuhusu mafao ya NSSF

    Iko hivi- Industries ambazo ukiacha au kuachishwa kazi unaruhusiwa kufungua madai yako papo hapo na ndani ya siku 21 unavuta vyako ni (MINING) Ila kwingineko inabidi utulia kwanza mpaka ipite miezi sita ndo ufungue madai yako.Unatakiwa uwe na vielelezo vifuatavyo- kadi ya uanachama, Barua ya...
  7. P

    CHADEMA yapoteza mvuto majimboni..Tumewachoka

    Mapoyoyo kama wewe mko wengi mnaofikiri kwa kutumia makalio,na huenda kimepoteza mwelekeo kwenye kibanda chako na familia yako.
  8. P

    Mwenyekiti wa CHADEMA Usa River auwawa kinyama

    MUNGU hausiki na kifo cha aina yeyote ile,yeye alituumba tuishi milele ila Shetani ndo alidanganya mwanamke kuwa hatokufa hakika naye mwanamke akakiuka sharti alilopewa na mwanamume nae mwanamume akakiuka sharti alilopewa na MUNGU na hapo ndo kifo kikaanza kufanya kazi so anaemiliki kifo ni...
  9. P

    Ajira za Barrick Gold zipo au ni ujanjaujanja TU?

    Pole sana kaka,Barrick ni mabingwa wa media kujiosha kuwa wako sawa,kwanza kabsaa mishahara njiwa na kazi za mining kaka ni ngumu usiombe afu pressure za kufa mtu,so huenda wanapata watu wasio na sifa kwani wao ni kama Magamba walivyo.
  10. P

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Tena anakera kweli,hayupo kwa ajili ya maslahi ya taifa bali chama, Ndungai Job atleast anaonyesha kukerwa pia na hao mafisadi wa mchana kweupe peee!
  11. P

    Namkubali naibu spika mh Ndugai

    Hebu fafanua ueleweke..!
  12. P

    Msaada wa mimba jamani

    Mwambie ameze pills za majira kamoja tu hiyo kitu itayeyuka kama barafu.
  13. P

    UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

    Duh! Labda afundishwe kuongea otherwise imekula kwake.
  14. P

    UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

    Duh! Labda afundishwe kuongea otherwise imekula kwake.
  15. P

    Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

    Serikali ya chama cha mapinduzi imeoza na hakuna uzalendo hata kidogo miongoni mwao.
Back
Top Bottom