wajinawangu
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 128
- 20
huyu mama ni matatizo!!! hajui uvumilivu wa kisiasa, bado analeta unazi wa kichama.
Jamani wanajf wenzangu poleni na mikikimiki ya leo toka bungeni.Nionavyo mimi sina imani kabisa na simuamini kabisa mama yetu spika wa bunge,na ninamuamini sana na ninampenda sana naibu spika anavyoliongoza bunge.Na matunda yake yameonekana kwa hizi siku mbili ambazo huyu mama yetu hakuwepo bungeni.HOngera sana JOB NDUGAI fuata nyayo za Sitta.
wewe kumbuka asubuh amekataa miongozo kadhaa but kuingia Ndugai akawapa wote miongozo zaidi ya yote amemchkachua Rashid Moh swali la waziri mkuuAngeongoza mama, leo sijui tungekuwa wapi?
Mimi baada ya kufanya kazi na Ndugai, nawaambieni hakuna mtu hopeless kama Job Ndugai!
Mimi baada ya kufanya kazi na Ndugai, nawaambieni hakuna mtu hopeless kama Job Ndugai!
Jamani wanajf wenzangu poleni na mikikimiki ya leo toka bungeni.Nionavyo mimi sina imani kabisa na simuamini kabisa mama yetu spika wa bunge,na ninamuamini sana na ninampenda sana naibu spika anavyoliongoza bunge.Na matunda yake yameonekana kwa hizi siku mbili ambazo huyu mama yetu hakuwepo bungeni.HOngera sana JOB NDUGAI fuata nyayo za Sitta.
nakuunga mkono ndugu...wale wote hamna kitu basi tu huyu sometime anakua mbishi coz ni kidumendugai kilaza na mwoga kama makinda tofauti mmoja mwanamke mwingine mwanamme
Alitakiwa ndie awe spika bi kiroboto ni kibaraka ashangaa wakuu wa idara wanavyopatikana wanajua wakubwa