Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,401
- 14,136
aiseee ni kweli???
Katika wachungaji wanao husishwa na madawa ya kulevya na huyu yumo pia !
Katika wachungaji wanao husishwa na madawa ya kulevya na huyu yumo pia !
hahahaahaaaaa.....Siwezi amini, kuna mbunge anamtetea Wassira kwa kulala Bungeni eti kadhalilishwa na picha, eti anamjua ni mfanyakazi hodari toka akiwa naibu waziri mwaka 1970 mpaka 1975
Je nawe u mmoja wapo wa watu hawa?????????? Usalama wa taifa nchi hatuna, kama ungewkuwepo ufisadi na mabilioni yanaibiwa usiku na mchana usingekuwa kwa kiwango hicho, wewe unafanisha na wakati wa Nyerere wakati nchi inaongozwa na wazalendoNdio si lazima sana kujua kazi zao,lakini cha msingi watu wajue kuwa hawa ndio moyo wa Taifa linapokuja swala la USALAMA WA TAIFA.yaani mambo yote yanayotishia ustawi wa maisha yangu mimi,wewe,jirani yako,mkweo,binamuyako,shangaziyako,mwanao,na kizazi cha mtoto wako,hawa ndio watu wa kwanza kujua.Na pengine kwa faida yako unaweza wewe na watanzania wengine tusijue kuwa kunawakati adui alikusudia kutudhuru lakini kwa uwepo wao na ujuzi wa kutambua wanakabilina nae juu kwa juu,kisha wanapima faida za kuweka wazi jambo hilo au kukaa kimya. Wakiona kukaa kimya ni heri kwa faida ya nchi basi wanachuna.Wanakuacha wewe tajiri unakula bata na mkeo Ndani wao wako nje wanateseka na baridi kukulinda,kwa sababu wewe ni mlipa kodi ya Taifa hili unastahiki kulindwa kupitia kodi yako unayolipa. Mfano nitatumia mfano wa masai mlinzi uliyemuacha pale mlangoni si lazima kila siku akwambie kuwa kuna watu wangapi walipita nje ya geti lako au mlango wako.
Ni kazi inayotegemea akili sana [Intellectul]
Wazungu nao kumbe ni Wahenga....!!!!? Kweli kuchelewa kufa kusikia mengi...!unasemaje mkuu.! Ama kweli wahenga walisena "LIKE HUSBAND LIKE WIFE"
Kwanza hili la siri za ikulu kuvuja jamani sio kwamba UWT wamepoteza maadili,halafu kuwa na viongozi wabovu kiasi hiki,kweli UWT wanashiriki kuwachuja kweli watu wenye uzalendo,halafu mbona UWT wameshikwa uoga sana kuwavua viatu watu wanapomkaribia Raisi imekuwaje UWT wameshajua wananchi hawaamini tena
Je nawe u mmoja wapo wa watu hawa?????????? Usalama wa taifa nchi hatuna, kama ungewkuwepo ufisadi na mabilioni yanaibiwa usiku na mchana usingekuwa kwa kiwango hicho, wewe unafanisha na wakati wa Nyerere wakati nchi inaongozwa na wazalendo
Maji marefu anadai kuwa anatembea sana na jk,rais anajitahid sana KUOMBA MISAADA
Kwa hiyo JK anaongozana mara nyingi na huyu Maji Marefu uko ughaibuni!!! sasa hapo utaona jinsi gani hizo safari hazina faida kwa nchi yetu, huyu si mganga wa kienyeji anaejiita Profesa!!
Hali mbaya sana kwa kweli, maana ukiwaona baadhi mitaani wakiringa na bia na wanawake inasikitisha sana, nchni ipo uchi kabisa.
huyu msigwa anajihamini sana, wananchi wa iringa wanampenda sana!
ni mbadala wa ustaadh Yahya plus si lazima sana watembee wote physically nadhani sometimes ufundi unahusika siye twamuona kimwili huku kumbe kiroho yupo na mkuu wa kaya huko safariniKwa hiyo JK anaongozana mara nyingi na huyu Maji Marefu uko ughaibuni!!! sasa hapo utaona jinsi gani hizo safari hazina faida kwa nchi yetu, huyu si mganga wa kienyeji anaejiita Profesa!!