Da wabongo hutusomi kabisa na kuelewa thread mleta Mada wala hajazungumzia panya kutegua mabomu Bali Hawa panya hunusa tu nakubaini mabomu yalipo kisha binadamu huja kutegua simple
Nauza kiwanja kipo km 5 toka Kivukoni Ferry na km 7 toka daraja la mwalimu nyerere, kama unaelekea njia ya mjimwema maeneo ya kwa mwingira.
Kina hati miliki ukubwa wa eneo ni mita za eneo 935, kimezungukwa na majengo mbalimbali umeme upo ni nguzo moja tu hadi kiwanjani maji kipo kisima eneo...
Wabongo wengi huwa tunaogopa kwenda kula au kulala kwenye ma Hotel makubwa tunaishia guest house nenda hotel bufee kuanzi tsh 15000 vinywaji lain kuanzia tsh 3000 kulala kuanzia 40000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.