PAPA OBAMA
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 204
- 87
Anza na hotel zilizopo uswazi kwanza upate uzoefu
Wajinga kama nyie ndio mnao haribu JF.Unataka Ukajitutumue VALENTINE DAY Na Hako Kademu Kako Kanakonuka Jasho Kama Vumba LA Samaki?
Majibu gani hayo? Usimdharau usiemjuaUnataka Ukajitutumue VALENTINE DAY Na Hako Kademu Kako Kanakonuka Jasho Kama Vumba LA Samaki?
Bonde Lako La Ufa Linakuwasha?Wajinga kama nyie ndio mnao haribu JF.
Spati picha demu wako yukoje. Stupidtype. !Unataka Ukajitutumue VALENTINE DAY Na Hako Kademu Kako Kanakonuka Jasho Kama Vumba LA Samaki?
Wee si ndio unachambiaga pilipili au cku hizi umeacha hako katabia… Haya sasa anza kutukana..Bonde Lako La Ufa Linakuwasha?
Haki ya Mungu walahi wacha tule tu mihogo na chips za wapemba ,hiyo bei ni ya Sea food platter ???UNGEKUWA KE! PENGINE JIBU LANGU LINGEKURIDHISHA! LAKINI WW NI MR.! ANYWAY NI USD115 EQUIVALENT NA TSH(MADAFU LAKI 260!) VIPI?
Wabongo problematic sana.
Mtu anaomba ushauri, anapewa za uso. Anakandiwa demu wake badala ya kumsaidia.
Hapa hatujuani na si vema kumpangia mtu maisha yake wakati humjui.
Haituhusu, KWA NINI anataka kwenda Sea Cliff na KWA NINI anataka kutumia 80,000 na demu yake.
Tuache tabia za kitoto. JF siyo FB.
Tatizo letu tuna roho mbaya sana.
Hatupendi tumuone mtu anaishi maisha yake.