mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
we we mngese sana. na mshamba.Hilo ni taizo lako sio letu kama unavyo nena,usijilinganishe maisha yako na yeye ama mtu mwingine,Huo ndo ukweli,kama budget ni ndogo unaanzaje kuwazia kwenda sehemu ambayo unakaa bila kuwa na amani kisa kumfanya mtu unayemtoa afurahi wakati wewe tumbo linawaka moto, ni heri kuishi katika uhalisia wako kama Budget ina ruhusu katumie ipasavyo once in a year lakini kama Budget ni ndogo tafuta mahala pengine patakapo lingana na pesa yako sio kuenda mahala unatumia pesa pasipo kukuweka wewe huru ukiwazia Bill itakujaje
huyu jamaa anaakili, ameamua aende akapate exposure. We una discourage
80 ndio ameamua akaile wew haukuhusu
toa ushaur au tembea