Wizi mtupu kwa hesabu ya haraka RAV 4 ya mwaka 2013. mpaka ifike Port DSM nh M50 Hiyo M80 ni pamoja na ni atufafanulie sio watanzania wote masikio lala
Nimejaribu kupata coment kutoka kwa park ranger leo hili swala lina mkono wa ndani .Sidhani kama kuna mtu kutoka njee aweze kuingia moru bila kunekana cause kuna O P kila kona na patroo za magari lukuki.Watendaji wanalijua hilo Haituingi akilini kabisa.
Wana jamvi tusingize siasa hapa hii ya Faru ina impact kubwa sana Jana kwa macho yangu park ranger wa ngorongoro crater walikua wanamkimbiza faru crater ukiwauliza reason behind hawana majibu ya kueleweka it was more than five car runing with one rhino Iliku kero hata kwa watalii waliokua...
Du kwa ulinzi ninaoufahamu Moru. Yani hainihngii kirahisi akilini.Hawa park warden wanahangaika na Guide kuwa wameoff road.Wanahamwgaika na kukagua parmt wanasahau ulinzi wa wanyama While they use lot of fuel an time Huwa najiuliza hizo hela za adhabu zinaenda wapi. Inakera sana kusikia faru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.