Cha kuongezea hao lowassa na sumaye ndio waliokuwa mawaziri wakuu awamu hyo kweli chadema mmebeba kimavi kwa hapo coz wazee wenu leo wanajidai watakatifu wakati kipindi kile hyo karamu ya mikataba walimega na kuneemeka labda hicho kikao sumaye na lowassa waombee msamaha kwa walichotufanya awamu...
Labda tukuambie wewe nyumbu usijifanye mkweli nyie ndio wapiga dili na huo ukweli wako ungetuambia katika vyombo vya habari jana au siku zilizopita na sio kujificha hapa kwenye kibodi hata kama ni muuza mtumba mtatuambia nyie wataalamu ,,,mtangooka tu yie weziii msijifnye watakatifu huku mafichoni
Asante dada kwa kuwachana ,,ukichunguza watanzania wengi wenye vijembe mtandaoni ni wale kula kulala,au kulala kwa shem ,au kama ni kazi analipwa laki 3 kwamwezi alafu anampiga kijembe mtu ambaye yupo ofisini pale anazaidi ya mamilion yake ,,,da aliyetuloga bongo kashaoza kaburinii
We kweli chizi tena chiziiiiiiiiii,,,,,,, labda ungesema wale wachezaji wenye asili ya tanzania wanaoishi nnchi za nje wapewe uraia wa inchi mbili ili wawe kwenye kikosi cha taifa starz coz nao pia wanatamani wachezee timu ya taifa lao ila uraia ndio tatzo kwao
Kwa kenya tunawapongeza kwa hilo kwa kua bajeti yao ipo juu zaidi ya yakwetu,kinachosikitisha kwetu ni pale ambapo hoja za kujenga na kuimariha jehi kwa vifaa zikitolewa kuna baadhi ya wabunge watapinga kwa kuleta hoja laini kama madawati, hakuna shule ,mara madawa ,,,,hapo ndipo ugonjwa na...
Nyie si mlisema hamtotoa taarifa zake vip leo mmekengeuka alfu hakusema watumishi ila alizungumza na watu baadhi nafikiri ni tbc coz nao wamezidi mapuuza kwakweli mambo muhim ya taifa yakiendelea wao wanaleta vipindi visivyoeleweka ,,,ao sijaona chaajabu ,,hii kiki embu tafuta nyingne wew nyumbuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.