Baraza Kuu Chadema Mei 27 Dodoma wananchi Tunaomba Live Coverage kwenye Vituo vyote vya TV Nchini

Waterloo

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
25,360
38,869
Wadau,
Kama mnavyojua lile chama Kubwa ,Chama Cha Watanzania wazalendo waliochoshwa na Wizi, Ujanja ujanja na Ufisadi wa Mali ya umma katika nchi hii.

Chadema tutakuwa na Baraza Kuu la Chama Tarehe 27.05.2017 huko Dodoma. Ni ombi langu kwa uongozi wa Chadema Wananchi tunahitaji kufuatilia kwa karibu Mkutano huo kama tungeweza kuoneshwa Live kupitia Vyombo mbali mbali vya Habari hapa Nchini.

Ni hayo tu.
Viva Chadema Viva Tanzania. Ushindi 2020 ni lazima. Kumtoa mkoloni mweusi Ikulu.
 
Wadau,
Kama mnavyojua lile chama Kubwa ,Chama Cha Watanzania wazalendo waliochoshwa na Wizi, Ujanja ujanja na Ufisadi wa Mali ya umma katika nchi hii.

Chadema tutakuwa na Baraza Kuu la Chama Tarehe 27.05.2017 huko Dodoma. Ni ombi langu kwa uongozi wa Chadema Wananchi tunahitaji kufuatilia kwa karibu Mkutano huo kama tungeweza kuoneshwa Live kupitia Vyombo mbali mbali vya Habari hapa Nchini.

Ni hayo tu.
Viva Chadema Viva Tanzania. Ushindi 2020 ni lazima. Kumtoa mkoloni mweusi Ikulu.
Hamuuwezi muziki wa ccm. You're principally novices in competitive politics
 
IMG_20170526_082230.jpg
IMG_20170526_082225.jpg
 
Live coverage kuangalia watetea mafisadi?? Asilimia kubwa ya mazungumzo yao itakiwa ni kutoa maelezo marefu kutetea mafisadi
Juzi Mwenyekiti wako kasema toka mwaka 98 tumeibiwa kiasi gani kwenye madini? Wezi wakubwa nyie
 
Mkuu ulikuwa na lengo zuri la kutoa taarifa ya mkutano wa CDM ila umeishia kujidhalilisha.

Huwezi kutuaminisha kuwa CDM ni chama cha wazalendo, unataka kutuaminisha Lowasa na Sumaye ni wazalendo?, wana tofauti gani na magamba ya CCM? Wakati na wao walikuwepo kipindi hicho cha mikataba ya kilaghai iliyolifikisha taifa letu kwenye hali ngumu ya kiuchumi namna hii.

Inasikitisha sana kuona vijana mnatumiwa na wanasiasa badala ya kukomaa kujikwamia kiuchumi mnabaki kuwalamba miguu tu wakati wao wanaishi maisha ya kifahari ninyi mnakuwa na maisha magumu
 
Mkuu ulikuwa na lengo zuri la kutoa taarifa ya mkutano wa CDM ila umeishia kujidhalilisha.

Huwezi kutuaminisha kuwa CDM ni chama cha wazalendo, unataka kutuaminisha Lowasa na Sumaye ni wazalendo?, wana tofauti gani na magamba ya CCM? Wakati na wao walikuwepo kipindi hicho cha mikataba ya kilaghai iliyolifikisha taifa letu kwenye hali ngumu ya kiuchumi namna hii.

Inasikitisha sana kuona vijana mnatumiwa na wanasiasa badala ya kukomaa kujikwamia kiuchumi mnabaki kuwalamba miguu tu wakati wao wanaishi maisha ya kifahari ninyi mnakuwa na maisha magumu
Cha kuongezea hao lowassa na sumaye ndio waliokuwa mawaziri wakuu awamu hyo kweli chadema mmebeba kimavi kwa hapo coz wazee wenu leo wanajidai watakatifu wakati kipindi kile hyo karamu ya mikataba walimega na kuneemeka labda hicho kikao sumaye na lowassa waombee msamaha kwa walichotufanya awamu zilizopitaaa,,,huu mwaka wenu kote kumoto majizi makuu mmeyakumbatia
 
Mkuu ulikuwa na lengo zuri la kutoa taarifa ya mkutano wa CDM ila umeishia kujidhalilisha.

Huwezi kutuaminisha kuwa CDM ni chama cha wazalendo, unataka kutuaminisha Lowasa na Sumaye ni wazalendo?, wana tofauti gani na magamba ya CCM? Wakati na wao walikuwepo kipindi hicho cha mikataba ya kilaghai iliyolifikisha taifa letu kwenye hali ngumu ya kiuchumi namna hii.

Inasikitisha sana kuona vijana mnatumiwa na wanasiasa badala ya kukomaa kujikwamia kiuchumi mnabaki kuwalamba miguu tu wakati wao wanaishi maisha ya kifahari ninyi mnakuwa na maisha magumu
Zaidi ya chuki , sijaona hoja yoyote .
 
Mkuu ulikuwa na lengo zuri la kutoa taarifa ya mkutano wa CDM ila umeishia kujidhalilisha.

Huwezi kutuaminisha kuwa CDM ni chama cha wazalendo, unataka kutuaminisha Lowasa na Sumaye ni wazalendo?, wana tofauti gani na magamba ya CCM? Wakati na wao walikuwepo kipindi hicho cha mikataba ya kilaghai iliyolifikisha taifa letu kwenye hali ngumu ya kiuchumi namna hii.

Inasikitisha sana kuona vijana mnatumiwa na wanasiasa badala ya kukomaa kujikwamia kiuchumi mnabaki kuwalamba miguu tu wakati wao wanaishi maisha ya kifahari ninyi mnakuwa na maisha magumu
Lowassa na sumaye wamejitambua na ndio maana wamejiunga Kupambana na mafisadi CCM. Inasikitisha nyie mliobaki huko kwenye ujambazi wa CCM.

Kama wamehusika kwa namna moja au nyingine wapelekeni mahakamani wakapate haki yao.
 
Back
Top Bottom