talumba
Member
- Mar 19, 2017
- 34
- 23
Haha, kweli kama haamini vile, maana anavyongea kama anampa ujumbe tenaahahaaaa hata mimi sijamuelewa kama baraka yupo nae mbona anamtumia tena ujumbe?
Haha, kweli kama haamini vile, maana anavyongea kama anampa ujumbe tenaahahaaaa hata mimi sijamuelewa kama baraka yupo nae mbona anamtumia tena ujumbe?
Hahaha. ....nimecheka sana.Duuh! huyu RPC kapaniki kinoumah,sijawahiona RPC anaongea kwakupaniki na mikogo yote hii utadhani anaimba taarabu.
Hahaha. ..... baraka ni shiidaahahaaaa hata mimi sijamuelewa kama baraka yupo nae mbona anamtumia tena ujumbe?
Wacha kuchanganya mamboKupanic kama watu wa lumumba buku saba sio?
Hahaha. ......hahahaha.....hahahahaEti shetani akiwasumbua watamkamata
Haha jamani nimecheka Sana, eti atapelekewa video aione, me!Nimecheka sana...[emoji23]
Anaongea kama huyo Malisa atapelekewa video aione .
Hahaha, mbavu zangu jamani, do!hahahaa kamanda yuko attention ikitokea baraka malisa katokea achanje mbuga..............dah we baraka malisa ushndwe na ulegee huwez tetemesha sie wanachi mpk walinz wetu
We kichaa kweli na wew yaweza kuwa ni mwenzakeKwahiyo kama amekamatwa sisi inatusaidia nini ,,,
Hahaha hahahahahhah.........Haha jamani nimecheka Sana, eti atapelekewa video aione, me!
Inawezekana alimkamiaa sanaHahaha Huyu police analingine na huyu mtu du!!
Au kamgegedea hahaha sio kwa kupanik huko