Recent content by palangana

  1. palangana

    Yai la nani?

    Jogoo anataga! Ila lile yai halitotoleki, watu inferior huchukua lile yai na kwenda nalo kwa mganga, wanadai lina kazi kubwa na tamu mno za kichawi.
  2. palangana

    Prison life(Maisha ya gerezani)

    Hawa "machizi" huwa hawana hoja, kila kitu cha msingi wanahisi kulengwa wao. Achana nao mara nyingine si muhimu kuwajibu Clemence Mwandambo
  3. palangana

    Maneno haya ya Waziri Mkuu mstaafu,Mhe. Sumaye kuhusu "UKUTA" kwa Mhe.Lema kwa hakika yanaenda kutimia

    Utachezea demokrasia, utaua upinzani, utatekenya vyombo vya habari, kamwe huwezi chezea UCHUMI, utakumaliza mwenyewe
  4. palangana

    Wabunge wakicheza wimbo 'NYEGEZI' uliopigwa marufuku na BASATA

    Nyege... nyege... nshushe mwanza nyegezi😆😆😆! Ukifungua tibisii unakuta hii ni taarifa ya habari "ya kitaifa"! tibisii "imekufa"
  5. palangana

    Wapenzi wa churaaaa njooni muone

    "Kimebinuka"
  6. palangana

    Ushoga Chini ya Zuria....!!!!!

    Salam wanajamvi; Natumai kuna waliotazama mechi za weekend hii iliyoisha jana. Je, kuna walioelewa maana ya rangi zilizowekwa kwenye vitambaa vya nahodha(Captains), kamba za viatu na mipira iliyotumika? Nimesoma mahali kuwa ni rangi za bendera ya LGBT, ila kampeni ya weekend ilikuwa "Games for...
  7. palangana

    Hichi Kitoweo

    Hii sura sio ngeni, nimewahi kuiona wapi sijui😊😊😊
  8. palangana

    Wanaume Wa dar na wamikoan tuweke tofaut zetu pemben tukutane hapa

    Kikao hiki hakitafikia ukomo
  9. palangana

    Wataalamu wa SUA njooni hapa muelezee hili

    Bado wanatafakari hii mimba ya utotoni😂😂😂
  10. palangana

    Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

    DrLove69 Unadhihirisha una fikra finyu especially kwa kuwa umeamua kuwa 'shabiki' wa ccm. Wengi walio huko fikra zao, haziko poa. Note: Me sio mfuasi wala 'shabiki' wa vyama, ila yanayoendelea nayaona!
Back
Top Bottom