Kuna kipindi alikiwa anajua idadi ya samaki wote walio katika ziwa linaloupa uhai mto Nile.... hapo ndo wakaona walau wamfananie kurudisha fadhila .......
Hivi na haya ni Mahaba maana nimejikuta nimeandika tuu.....
Mwe, mwe,mwe,mwe,Duniani wapo viumbe wawili wawili mmoja anaishi majini mwingine nchi kavu lakn sharti wafanane
Ila,huyo samaki huko baharini inavyoelekea alikuwa hajaribiwi na samaki wenzake na ikitokea wamemjaribu alikuwa anawa-check halafu anasema hiiiiiiiiiiiiiiiiii!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.