Hichi Kitoweo

Hichi Kitoweo

Kuna kipindi alikiwa anajua idadi ya samaki wote walio katika ziwa linaloupa uhai mto Nile.... hapo ndo wakaona walau wamfananie kurudisha fadhila .......

Hivi na haya ni Mahaba maana nimejikuta nimeandika tuu.....

K' Matata.
 
Mwe, mwe,mwe,mwe,Duniani wapo viumbe wawili wawili mmoja anaishi majini mwingine nchi kavu lakn sharti wafanane
Ila,huyo samaki huko baharini inavyoelekea alikuwa hajaribiwi na samaki wenzake na ikitokea wamemjaribu alikuwa anawa-check halafu anasema hiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
"Kwamb nae umefika wakat wa kutumbuliwa??" ...Asked by Joseph Stalin...mcnitaje co mm nilieulza ivo🏃🏃
 
Samaki anataka kila hela iwe yake hata ya vikongwe wastaafu, Sorry nimechanganya madesa.
 
Hicho kitoweo kimefanya watu waishi kama Mashetani
 
Back
Top Bottom