Someni vizuri Hawa sio TAIFA TEULE HAWA SIO WAYAHUDI ASLI asili Yao nit MAASHKANZI WALIOTOKEA MILIMA YA CAUCASIAN walivyo tandikwa na Na MONGOLIAN WAKAJIBADILISHA KUJIFANYA WAYAHUDI someni au ingieni UTUBE kwenye ASHKANAZI JEWS
Wazungu walivyo wafanyia kina kinta kunte huko Marekani walivyo wachukua utumwani maana hamuwaoni mnawasakama waarabu tu hizo ni sheria zao hata Marekani kuna.majimbo yanatoa adhabu ya kifo kwa. Muuwaji
Sasa Wayahudi wanavyo tumia Nyota hata kwenye bendera Yao ni Pia Ushetani, jamani watanzania lini mtastaarabika? Mnakuja na hoja hazina hata maana. Kama mtu anajuwa Maana ya kitu symbol au NEMBO ndio iliwekwa tu na. Baadhi ya watu kufahamisha kuwa ni msikiti au Kanisa kumbuka kuna waislaam...
SIASA zote duniani zimekuja kwa msingi WA Dini hata waingreza,Wareno,wafaransa,wajerumani Dini ndio mhimili mkuu WA Siasa, nchi kama Marekani walikataa Dini katika Siasa kwa sababu Dini Yao tokea George Washington ni Ile ya ki Freemasons kwa hio,kwa hio mtu ukisema Achague kati ya DINI na SIASA...
Nchi yoyote ianyowekeza ndani ya nchi nyengine kuna mikataba ya makubaliano kama yamekubaliwa awali anunue makao South basi ndio mikataba hivyo Ana haki kama hakuna mikataba basi wakae wazungumze na viongozi wetu kama makka Yana KASORO tuarifiwe nini KASORO sio kutoa tu sababu labda kuna...
Usisahau mtoa Mada yako Kabla uhuru nani walikuwa wasomi wengi na taasisi kubwa za Elimu ziliruka zinamilikiwa na nani Jibu unalo ndio maana likaja Azini.LA Arusha kutaifisha mashule yote yaliomilikiwa na waislaam kama hujui historia kaa Pembeni
Sasa shisha ndio Ina matatizo gani hivi nauliza wazungu wakivuta kiko halali waarabu mila na desturi zao huvuta tumbaku kama kiko but wanaweka Maji kuchuja moshi Sasa tatizo liko wapi, watalii wengi huvuta shisha hapa tuna waarabu wako kama vile waziri,walebanon,wasyria,wamesema,WA Oman na WA...
Hujaona filamu ya Rootsnani Kasema wazungu hawajatowa nyeti zao tazama utumwa uliofanywa na Waarabu na waafrika wenyewe asili ya huku kama Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia ni RoyaL family tazama TV za Uarabuni utaona hata mawaziri ni Asili ya Kiafrica hata mtoto WA kifalme alitawala Kuwait ni...
Mbona hamuelezi utumwa WA wazungu kwa sababu ni.mabwana zenu naona kila mmoja anapost Upuuzi, hata historia hamjui, kilwa ilitawaliwa na Watu kutoka PERSIA yaani Iran mpaka leo Yako mabaki Yao na Bagamoyo na Zanzibar, ukisoma historia ya Hassan Bin Ali na wanawe Sita walikuja Kabla waarabu na...
Lcd maana yake ni Maji Maji yaani.LIQIUD CRYSTAL DISPLAY hio ni.mchanganyiko WA majimaji katika crystal form maalum ambayo yakipata umeme huwa yanatoa mwanga na kuwezesha kuwekwa kwa mfumo ambao utatoa nadharia ya picha au chochote Ila LED ni mfumo mwengine huu unaitwa Light Emission Diode yaani...
Mataifa Makubwa yako kwenye Mgogoro WA Syria Hawana time na kajinchi Zanzibar maanasasivi kunanukia vita vya Tatu Sasa saa ngapi Hao mabwana Zetu watakuwa na time na Mgogoro WA Zanzibar, kumbuka mmarekani kaondoka hela ya Millennium but akatoa kwa mlango mwengine, cha ajabu hawaoni sababu ya...
Mbona hamuulizi masheikh WA Uamsho Wana karama zipi jee dua zao kwa Mungu unazisikia kuwa hazipokelewi au zinapokelewa? Wajue friraun alijiona Jabar but mwisho akaaozaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.