Mimi nafikiri wewe ndio huna kazi ya kufanya, kwani kuna kosa gani kufanya kazi??? ndio maana wenzetu wanaopenda kufanya kazi kama china wameendelea sana, wewe na wenzio kila siku mapumziko, nyerere day, karume day, siku ya uhuru, muungano sabasab, nanenane, mapinduzi day, muungano day, n.k