Pole sana. Lakini ijulikane sio wanaume wote tuko hivyo. Hata kama ulikuwa kwenye list ya "wale ninaotaka kulala nao" za kutoka ends hizooooo
Wengi wana shindwa kutofautisha fantasy and reality. You both moved on. Sema tena kuna tabia ya kujaribu bahati, gonga hodi uone kama utakaribishwa...
Duh
Hapo tuseme unakutana na wale wanao tafuta tu sehemu ya kupunguza nyege zao. Kauli hizo mara nyingi labda ndiyo zina onyesha hata faa huko mbele. Na labda mkisha badilisha numba muwaulize wana nia gani kwanza kuhitaji numba yako? Katisha mlolongo mrefu
Sikuwahi kusikia ata jina lake. Nashukuru nimepata nafasi kusikiliza musiki ya maana. Anaonekana anajitahidi kuuliza maswali magumu katika vitu mbalimbali. Worth watching
Duh. Generational curses zina endeleza hivi. Sisi wanaume tuna feli wapi na hizi hamu zetu jamani? Hakuna anae fikiria "rape charges" ata maana hatuwezi sema ilikuwa consensual toka mwanzo.
Binti, bado una maisha marefu mbele yako. Bila cheti cha shule itakuwa ngumi kuji inua haswa kutokana una...
Yaaani
Ndiyo naahituka mchana kuhusu hili tatizo. Umuhimu wa kuwa na akaunti 2 sehemu tofauti. Gharama ya kuzimiliki bado zina ku save kipindi kama hiki. Duh
Aisee nimecheka. Lakini pia hizi ndio situations zinazo leta stress zaidi kwenye ndoa nahisi
Hapo wewe mwenyewe umesha mdanganya mke wako mara ngapi tu kumpigia simu na mengineyo huyo mwanamke?
Inasikitisha kwamba hizo tukio hazita isha hivi karibuni. Binadamu jinsi tulivyo, kumbukumbu zetu ni fupi na haswa watu waliyo na uwezo mdogo. Nafasi ilionekana na wata itumia tu bila kujali hatari zozote zitakapo kuwepo.
Kweli Mungu atuepushe tu.
Hahahah... Found myself in that situation as "life" is just starting and an expensive sofa is not in the list of important things... Now it looks like a babe trap is all! Some truth there
Duh. Kumbe kuna stori kama hii pia. Kwa kweli utani wa siku hizi una tisha yaani. Dhamani ya vitu vingi vina potea kwa kutaniana hivi hivi hadi ukiwa una sema ukweli hakuna wa kukusikia.
Anyway, kama huyu wa sasa ndio mnapendana hivyo, basi forgive and try and forget. I always say we are a...
Duh. Dada, kweli lazima akonde kwa style hii. Nafsi haitakaa vizuri kabisa. Kuwaza ni adhabu kubwa kweli. Sijui nikipongeze ama vipi... Sahihi ku sali ata kama huta pata jibu pale pale.
Binti, ndoa yako imepata changamoto kubwa mno haswa kutoka kwa mtu wa karibu hivyo. Kama kweli unampenda...
Oh my goodness. Jamani jamani tunashida yaani. Na changamoto kubwa ni kwamba hawa ulizwi wana malengo gani na watoto hawo. Maendeleo gani haya jamani. Ndugu zake wa mjini wata koma kweli
Hahaha.. Umeniacha hoi aisee. Ukweli ni kwamba wanaume wengi walio kwenye relationship wanahitaji kufanya diet pamoja na mtu wao wa karibu.
All the best mate. Hiyo vita haishi kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.