Ni kwa matawi yote au tawi moja? Lakini suala la kukosekana kwa mtandao (network ) ni jambo la kawaida maana ni la kiufundi zaidiWanakera wajinga hawa, wanapoteza muda wa watu bila sababu za msingi.
Yani imenibidi nifunge safari nirudi mkoa mwingn kufata cheque kisa ujinga wao..
Kama hawawez huduma wafunge hiyo benki
Nadhani ni matawi yote na system yao yote kiujumla , atm ,Sim banking zote hamna kitu , halafu lazima tuwe smart tatizo la netwwok kukata muda mwingi kinakuwa ni uzembe wa watu asilimia chache ndio unaweza kusema ni mfumo wenyewe, halafu hakuna fail safe kwenye mtandao ya kibongo , atm Sim banking na hata wale wa counter inaonekana at some point wanatumia source moja , mafhara yake ndio hayo vitu vinafail kwa pamojaNi kwa matawi yote au tawi moja? Lakini suala la kukosekana kwa mtandao (network ) ni jambo la kawaida maana ni la kiufundi zaidi
Mimi mbak muda huu naonekana sio muaminifu kwasabau yao hivi inawezekana vipi benki kubwa kama hii kunakua na tatizo la mtandao mbaka sa saba hii na nusu hakuna walichorekebisha.hawana utofauti na vikoba.
Kwa kila tawi, benki gani inasumbua network nchi nzima?Ni kwa matawi yote au tawi moja? Lakini suala la kukosekana kwa mtandao (network ) ni jambo la kawaida maana ni la kiufundi zaidi
Pole jamaniWalichonifanyia CRDB kwa siku ya leo, sitasahau
Mtandao umeshakaa sawa tayari.