Recent content by Pagoda Hunter

  1. Pagoda Hunter

    Natafuta kazi ya ulinzi

    Unasema una miaka 23 na OP MAGUFULI. wakati Op Magufuli JKT waliingia 2016 mwishoni, tuseme basi 2017. Mpaka sasa ni miaka 8 imepita. Maana yake uliingia JKT ukiwa na miaka 15 au ndiyo tuache. Weka CV nzuri usaidiwe
  2. Pagoda Hunter

    Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Kipindi kama hiki ndiyo cha kuwa makini kuliko chore maana mambo ni mengi na muda ni mchache Sana. Kila Kona DJ anapiga mdundo wake sasa jukumu ni lako usikilize au ucheze huo mdundo. 🚶🏾🚶🏿🚶🏽
  3. Pagoda Hunter

    Simulizi ya kipelelezi: Document number 72 (Nyaraka namba 72)

    Kitabu chake kipo Kwa softcopy au hardcopy
  4. Pagoda Hunter

    Phone4Sale Ninauza Samsung A12 full box kwa bei Ya Offer

    Kuvunja na Infinix hot 12i imekaaje
  5. Pagoda Hunter

    Kwanini Kaunda Suti lisiwe vazi la taifa?

    Yaani unataka utuchoshe kwa hiyo Miswali yako. Kila mtu ashinde mechi zake
  6. Pagoda Hunter

    Mahakama itamleta IGP Sirro na Sabaya Mahakamani kama ilivyoombwa na Wakili Kibatala

    Hakuna awezaye kupinga wito wa Mahakama m, hakuna na hatakuwepo. Late president Ben Mkapa ashawahi kuitikia wito wa Mahakama... huu mchezo wasipokaa vyema CHADEMA Watakimbiana MAHAKAMANI. Ila uwepo wa KIBATALA ni hatari, jamaa ana akili kubwa sana na anapenda sana kutumia Akili yake kama silaha yake
  7. Pagoda Hunter

    Story: The Hidden Truth (Ukweli Uliofichika)

    Daktari atapindisha majibi na atasema mwenye matatizo ni Mwanamke wakati ukweli Mh. Richard ndio mwenye tatizo... Ndoa itaanza kuwa chungu kwa WINI, lakini kwa Mbele Winifrida atashika Mimba... utabiri wangu
  8. Pagoda Hunter

    Rais Samia Suluhu: Kila mwenye nia 2025 aache mara moja

    Mama Samaia Hassan Suluhu anazidi kuthibitisha kuwa, Kwenye uumbaji Mwenyezi Mungu alituumba Wanaume wa Kwanza lakini AKAWAPA WANAWAKE HEKIMA, UPENDO NA NIDHAMU KAMA UPENDELEO KWAO NA KUTUTOFAUTISHA NA SISI (wanaume).. wanaume sisi tukipata madaraka tunakuwa jeuri na kusababisha Mabalaa na...
  9. Pagoda Hunter

    Rais Samia Suluhu: Kusanyeni kodi kwa kutumia akili, sio nguvu

    Mama Samaia Hassan Suluhu anazidi kuthibitisha kuwa, Kwenye uumbaji Mwenyezi Mungu alituumba Wanaume wa Kwanza lakini AKAWAPA WANAWAKE HEKIMA, UPENDO NA NIDHAMU KAMA UPENDELEO KWAO NA KUTUTOFAUTISHA NA SISI (wanaume).. wanaume sisi tukipata madaraka tunakuwa jeuri na kusababisha Mabalaa na...
  10. Pagoda Hunter

    Je, viapo vya Wateule wa Rais ambao ni Waislamu ni sahihi?

    Wew nunua dagaa pika na ugali wako kisha jaza tumbo lako halafu kimbia ukalale.. Acha kuja kutuuliza maswali ya kitoto wakati wenzako wanakula kiapo na maisha yanabadilika hapo hapo.
  11. Pagoda Hunter

    Rais Samia: Kila mwenye nia ya Urais 2025, aache mara moja

    Huyu Waziri wa Sheria Prof. Palamagamba Kabudi bwana yaani jinsi alivyotoa sauti nzito kana kwamba anakula Kiapo cha U'makamu Raisi. Sauti yake unaweza kuogopa hata kuripoti kazini.. Ila sauti yake na Akili yake ni mbingu na ardhi.. Hebu tuone awamu hii ya 6 atakuwaje, pengine alikuwa anafuata...
  12. Pagoda Hunter

    UTEUZI: Rais Samia Suluhu amteua Balozi Hussein A. Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Ali ateuliwa kuwa Mbunge

    Kama namuona Bashiru wiki hii akijiunga bando la wiki na kuanza kumpigia simu Waziri Nchemba akitaka amuelekeze mahali anapopatikana Mganga wake..
  13. Pagoda Hunter

    Ndiyo kateuliwa lakini hapendwi na wengi

    Kama namuona Bashiru wiki hii akijiunga bando la wiki na kuanza kumpigia simu Waziri Nchemba akitaka amuelekeze mahali anapopatikana Mganga wake..
  14. Pagoda Hunter

    Hadithi: Vazi Jipya la Mfalme

    Popote ulipo Agiza Novida na Karanga.. Hii ni simulizi moja maridhawa sana na yenye mafunzo makubwa sana mwenye maisha ya dunia..
Back
Top Bottom