Basi mkeo atakuwa anajivinjari na mkeo.........sababu ni kama wamepanga mtindo wa kutoroka pamoja!....Okwi anajinyoosha sasa..............ahhhhhhhh inauma............dah!
Mkuu ''MM'' tatizo la baadhi ya watu (hasa viongozi) wanafikiri muungano unahusisha watawala..........kumbe muungano unatakiwa uwe wa maridhiano ya wananchi pamoja na viongozi (wakivaa uananchi na sio utawala) kwani hata Katibu Mkuu wa CCM bwana Kinana amenukuliwa na gazeti la mwananchi leo...
Usijitoe ufahamu dogo! hii nchi hata akina Shivji wana asili ya india lakini hakuna mwenye kuwahoji sababu wamekamilisha taratibu za uhamiaji/uraia..........nafikiri kuna kamati itaundwa na watahojiwa ni nchi ipi wanataka kusajiliwa...................kwani hata wakati Tanganyika inapata uhuru...
Kidogo kidogo, unashangaa na wewe kupitia mstari huo unaanzisha kanisa.............mara linakuwa kubwa unakula vichwa, watu kibao wamefanikiwa kwa kutafsiri vifungu katika Biblia...................pambana mdogo wangu..........go......go............gooooooooo!
Suala la marumaru yaweza kuonekana anasa kwako ila kwa wengine ni kawaida kutokana na ukwasi.......,labda kwako CL ikoje kwa makaburi ya wapendwa wako (hasa hasa kama ni wazazi wako-samahani kama wapo hai )
Dogo toa maoni yako Kinana afanyeje kama sio kuisimamia Serikali? acha siasa maji taka kama Mtoi.., ambaye kule kwao Mtae CCM inapita bila kupingwa, yeye anaona atakuwa bingwa kwa uzushi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.