Mke wangu kapotea kama Okwi...

Mke wangu kapotea kama Okwi...

yani mwanamke anahistoria kuchepuka bado upo naye tu? hakuheshimu hata kidgo huyo kamata ngom mpya hiyo
 
Kilichotokea kwa Okwi na mke wangu hivyo hivyo, Kwao wanamtafuta hapatika na mimi namtafuta hapatikani ila ananiumiza kwa vile kaacha nguo zake nyingi kwangu, vyeti vya shule na chuo, na now nimepata demu mwenye sifa kubwa zaidi yake but kumsaliti roho inauma na huyu mpya kasema atatoroka kazini aje Mbeya hata wiki mbili za Pasaka na anataka kufikia kwangu, na kwangu nakaa na waswahili napata wakati mgumu sana, sielewi nichukue maamuzi gani licha ya kuwa na uhakika kuwa yuko kwa mwanaume anagegedwa(historia iko hivyo) na huyu mpya anataka na ndoa kabisa.

USHAURI bandugu

Basi mkeo atakuwa anajivinjari na mkeo.........sababu ni kama wamepanga mtindo wa kutoroka pamoja!....Okwi anajinyoosha sasa..............ahhhhhhhh inauma............dah!
 
Mke wangu amepote (kwa maana ya kwamba kwao haonekani wala kwangu hayupo na simu yake haipatikani) ila mwanzoni aliaga anakwenda kwao baadae akatoroka na kuzima simu. Sasa alipoondoka ameacha vitu vyake chungu nzima kwangu, sasa kwa kimya hiki miezi miwili now bila habari zozote. Sasa nimepata dem mwingine mkali zaid yake nashindwa kumpeleka kwangu kutokana na vitu vyake vingi (vya aliyetoroka) kuwepo ndan mwangu na pia wapangaji wenzangu wako kinoko sana kuona naingiza dem mwingne geto, na kibaya zaidi naumia nikiwaza kuanza mapenzi na mwingine then badae aliyetoroka kuja kurudi,, na huyu mpya anadhamilia hadi ndoa.

UTATA KWANGU.
 
Hapa unatoa taarifa ya kupotelewa na mke au ya kupata mchumba mpya?
NB Hapa siyo polisi peleka taarifa huko ili uisaidie kwenye uchunguzi.
 
Huyo aliyetoroka umezaanae?
Kama hujazaanae basi kakusafishia njia. Nafasi iko wazi mpe anayohitaji ajaze pengo? Ila kama umezaanae basi naomba wenzangu wakusaidie kukushauri zaidi mimi nahofia mateso ya hao wanao.
 
Back
Top Bottom