wote wa juzi kumbe. kitu ilikua "one down two to go" yupo fred,jim kely, jim brown.alafu inter the dragon kitu cha bruce lee na boro yang, bila kusahau never say never again kitu cha james bond. vile vile seven men amy. usipime tiketi za kuruka avalon.
Wakuu naomba kujua utaratibu wa kuhairisha chuo na gharama zake maana nimechaguliwa MIHAYO TABORA ila mkopo nimekosa, hivyo nataka kuhairisha ili mwaka kesho nisiangaike na TCU na mwaka huu niutumie kutafuta pesa ya kujisomesha.
NATANGULIZA SHUKURANI KWA ATAKAE NISAIDIA USHAURI.
kweli naona kwangu ni ngumu kwenda chuo bila mkopo.naomba mwenye ufahamu wa jinsi ya kuahirisha chuo na cost zake anijulishe ili mwaka kesho nisisumbuke na TCU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.