Settings ya internet ya halotel

kson m

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
6,648
3,003
Tafadhali mwenye kujua namna ya kufanya settings ya internet ya halotel anipe maarifa kidogo. ahsante.
 
Tafadhali mwenye kujua namna ya kufanya settings ya internet ya halotel anipe maarifa kidogo. ahsante.

nenda kweny Name andika Halotel, APN andika internet, alaf authentication type PAP or CHP, hakikisha unajaza km nilivyokuonyesha penye heruf kubwa weka km nilivyoweka na ndogo km nilivyokuonyesha, ukikosea haikubal,
 
nenda kweny Name andika Halotel, APN andika internet, alaf authentication type PAP or CHP, hakikisha unajaza km nilivyokuonyesha penye heruf kubwa weka km nilivyoweka na ndogo km nilivyokuonyesha, ukikosea haikubal,
Mkuu kwenye Proxy na Port unaandika namba zipi?
 
Settings>mobile networks>access point names
Name: halotel
Apn:b-internet
Mambo mengine yoteee unayaacha kama yalivyo..save n enjoy
 
nenda kweny Name andika Halotel, APN andika internet, alaf authentication type PAP or CHP, hakikisha unajaza km nilivyokuonyesha penye heruf kubwa weka km nilivyoweka na ndogo km nilivyokuonyesha, ukikosea haikubal,

Hawa jamaa vocha zao zinapatikana wapi hapa mjini dar es salaam aisee
 
Please anyone with the ideas of product menu ya hawa waokozi wa mawasiliano hapa tz pamoja na tarrif rate zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom