Tafadhali mwenye kujua namna ya kufanya settings ya internet ya halotel anipe maarifa kidogo. ahsante.
Tafadhali mwenye kujua namna ya kufanya settings ya internet ya halotel anipe maarifa kidogo. ahsante.
Mkuu kwenye Proxy na Port unaandika namba zipi?nenda kweny Name andika Halotel, APN andika internet, alaf authentication type PAP or CHP, hakikisha unajaza km nilivyokuonyesha penye heruf kubwa weka km nilivyoweka na ndogo km nilivyokuonyesha, ukikosea haikubal,
Hivi huu mtandao makao makuu yake Niwapi naona umeeneaghafla vijijini kuliko Tigo
nenda kweny Name andika Halotel, APN andika internet, alaf authentication type PAP or CHP, hakikisha unajaza km nilivyokuonyesha penye heruf kubwa weka km nilivyoweka na ndogo km nilivyokuonyesha, ukikosea haikubal,