Hivi meditation inasaidia nini if at all ukimaliza unarudi kwenye matatizo yaleyale ya dunia? Nadhani ni njia ya kujifariji tu
Una familia au uko singo?
Hili swali pia linahusika kumbe?
Sijaelewa hapo kwenye masaa 90-100..Yani masaa yote hayo unakuwa umefumba macho?
Hizo ni meditation retreats kuna za siku moja mpaka siku Saba mnakua mpo mahali patulivu nje ya mji mnafundishwa mnauliza maswali mnameditate mnapumzika mnakula
Mh huko sijui kwakweliNimekusoma mkuu asante,hapa Mwanza hua sijui naweza pata wapi hlo darasa
tuna kiu ya mambo yetu yaleeee meditation peleka jukwaa LA intelligence
Yeah haya mambo ya meditation bado ni mageni machoni mwa wengi sasa kama una familia halafu usiku au jioni unarejea nyumbani na kujifungia chumbani tuli utafikiriwa mengi mabaya
Hapo nimekuelewa vyema mkuu
Mkuu sio lazima ujifungine nyumbani. Unaweza ukatafuata namna yoyote iliyo njema. Meditation sio utumwa.Yeah haya mambo ya meditation bado ni mageni machoni mwa wengi sasa kama una familia halafu usiku au jioni unarejea nyumbani na kujifungia chumbani tuli utafikiriwa mengi mabaya
nitajaribu
tuna kiu ya mambo yetu yaleeee meditation peleka jukwaa LA intelligence
Nipo singo nduguUna familia au uko singo?