Membe ajaribu ubunge mtama na kama hivi jimbo hsjalitendea haki toka 2005 kwa unazi wake wa kutska kuwa rais basi AKATWE tu maana hakuna namna nyingine
Haaahaaa naskia walikuja kwa kukodiwa mabasi ila leo kila mtu atajua nauli yake ipo wapi na vibanda vya tigo pesa kuna folen wanatoa nauli walizotumiwa na ndugu na jamaa
Mkuu kuna maneno mtaani hasa mikoa yenye vurugu ya wakulima na wafugaji hao hawamtaki EL kwa shida wanazopata kwa ndugu zake hili nalo litachangia M4C kupata kura nyingi kama EL atapitishwa na hata akikatwa ana kundi kubwa la kuiyumbisha ccm ndio maana wapo njia panda wamefuga kidonda kifo...
1,sifa hana 2.hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kwakuwa katiba ya chama inasema hurusiwi kutoa rushwa wala kupokea rushwa .......asanteni kwa kuniskiliza paul makonda kabla hajawa DC kinondoni
Elfu 10 panga chumba cha giza elfu 15, nunua pafyumu kali elfu 5, vifuko vya salfeti vitano, elfu 40 pikpik ya kukodi 60 iliobaki njoo nkuelekeze sehemu ukachukue bange kuna jamaa yangu anavuna maana hmna jinsi baada ya mwaka unakua na mtaji wa kusafirisha na mikoa mingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.