FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Kama unaweza soma hewa we soma tu
Wewe umehongwa shingapi.Mwalimu alisema tuwasikilize wananchi.lakini hakusema tuwape pesa halafu tujidanganye kwamba wanatupenda la hasha.wanapenda pesa lakini si mtu. Kwa hiyo Lowasa hapendwi inapendwa pesa yake.
Baba wa Taifa aliwaasa CCM na hata vyama vingine...MKICHAGUA MTU AMBAYE HAKUBALIKI NA WANANCHI CHAMA KITAKUFA na kitalia machozi ambaye hakuna wa kuyafuta...!!!!
Alisema... msidhani mnachagua Katibu wa Chama, jueni kabisa kabisa, mnachagua MTU AMBAYE ANAENDA KUPIGIWA KURA NA WANANCHI, na kama MLIMTEUA MTU ASIYEKUBALIKA NA WANANCHI chama kitakufa na ndio mtabakia mkilia na Chama mbadala kitachukua utawala...hivyo lazima kabisa Chama kijue WANANCHI kwa wakati husika wanamtaka nani, Sauti ya wananchi ndio jibu la mwisho Chama kumteua nani anapendwa zaidi na wananchi ili agombee Urais.. hapo mtashinda kiurahisi...!!!!
Mkileta mizengwe, wananchi wataamua kutafuta mabadiliko ya kiongozi wao nje ya CCM...sbb hamkuwasilikiza...!!!
Na kwa sasa, Lowassa ndie chaguo la wananchi...!!!! Tuone sasa...!!!
Pamoja na mwenyekiti kuvurunda maeneo mengi lakini wanaccm watamkumbuka kwa kuwapa tahadhari mapema 'kujianda kisaikolojia' na kuachana na ndoto za 'magoli ya mikono'.Hawakujiandaa kushindwa ndicho kinschowagarimu sasa hivi
Baba wa Taifa aliwaasa CCM na hata vyama vingine...MKICHAGUA MTU AMBAYE HAKUBALIKI NA WANANCHI CHAMA KITAKUFA na kitalia machozi ambaye hakuna wa kuyafuta...!!!!
Alisema... msidhani mnachagua Katibu wa Chama, jueni kabisa kabisa, mnachagua MTU AMBAYE ANAENDA KUPIGIWA KURA NA WANANCHI, na kama MLIMTEUA MTU ASIYEKUBALIKA NA WANANCHI chama kitakufa na ndio mtabakia mkilia na Chama mbadala kitachukua utawala...hivyo lazima kabisa Chama kijue WANANCHI kwa wakati husika wanamtaka nani, Sauti ya wananchi ndio jibu la mwisho Chama kumteua nani anapendwa zaidi na wananchi ili agombee Urais.. hapo mtashinda kiurahisi...!!!!
Mkileta mizengwe, wananchi wataamua kutafuta mabadiliko ya kiongozi wao nje ya CCM...sbb hamkuwasilikiza...!!!
Na kwa sasa, Lowassa ndie chaguo la wananchi...!!!! Tuone sasa...!!!
Baba wa Taifa aliwaasa CCM na hata vyama vingine...MKICHAGUA MTU AMBAYE HAKUBALIKI NA WANANCHI CHAMA KITAKUFA na kitalia machozi ambaye hakuna wa kuyafuta...!!!!
Alisema... msidhani mnachagua Katibu wa Chama, jueni kabisa kabisa, mnachagua MTU AMBAYE ANAENDA KUPIGIWA KURA NA WANANCHI, na kama MLIMTEUA MTU ASIYEKUBALIKA NA WANANCHI chama kitakufa na ndio mtabakia mkilia na Chama mbadala kitachukua utawala...hivyo lazima kabisa Chama kijue WANANCHI kwa wakati husika wanamtaka nani, Sauti ya wananchi ndio jibu la mwisho Chama kumteua nani anapendwa zaidi na wananchi ili agombee Urais.. hapo mtashinda kiurahisi...!!!!
Mkileta mizengwe, wananchi wataamua kutafuta mabadiliko ya kiongozi wao nje ya CCM...sbb hamkuwasilikiza...!!!
Na kwa sasa, Lowassa ndie chaguo la wananchi...!!!! Tuone sasa...!!!
Kama unaweza soma hewa we soma tu
Kumbe tulikuwa tunashindana?Hiyo ni kushindwa. Ulikuwa na unaleta porojo na kuhororoja bila mpango. Umeshushuka shuu!
Kumbe tulikuwa tunashindana?
naomba kuuliza, miaka ya nyuma palikuwa na vazi fulani likiitwa "Baibui" hivi lile vazi lilikuwa ni kipande kimoja tu au vipande viwili gauni na kilemba, au vipande vitatu, sketi, blauzi na Kilemba?Naam, mimi nilikuwa nashindana kuwa hayo yaliyoandikwa kuwa Nyerere kayaasa yeye mwenyewe hajawahi kuyafanya.
Inamaanisha nini? just a talker, no more. Like you.
Ulivyokuwa unajibu ulifikiri kuna mdundiko hapa?