Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Hii kuna mtu kanitumia kwa email kumbe imeanzia hapa JF......
 
inasemekana REV. MTIKILA amekana kuhusika na UZI HUU
 
Mchungaji Mtikila mbona unakumbuka shuka kumekucha,
hali ilishakuwa mbaya,
Uongozi sasa ni biashara unanunuliwa kama nyanya sokoni.

Mwenye dau kubwa ndie anayepitishwa.
Haya mchungaji karibu jf
 
Mtikila ni kama ndoo ya maji kwenye mto rufiji hata akae katikati ya makutano ya ubungo mataa hasikikii ccm ina wenyewe akae mbaliii!!!
 
Kumbe Mkapa nae ni mshezi huyo upande wa wezi wakati kuna vijana wake walimsaidi katika kipindi chake vizuri lakini hawaoni kama wanamaana bali anaungana na wezi ,

Nakusihi Mkuu Usimwamini Mtikila 100% Kwani Kuna Mengine Anayoyasema Hapo Utajua Kuwa Sasa Ni Mwezi Mchanga Kwake. Kwa Taarifa Yake Mzee Mtikila Ajue Ya Kwamba Rais Mstaafu Mkapa Anawataka Watu Hawa Wawili Tu Dr. John Magufuli Na Professor Sospeter Muhongo Na Ndiyo Anaowapigia Chapuo Kwa Nguvu Zote Ili Wapite.

Lakini Hapo Hapo Pia Usisahau Kuwa Ule Mdahalo Wa Jana Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Yale Yote Yaliyoongelewa Pale Yana Baraka Za Mzee Mkapa Kwa 100% Japo Yeye Huwa Anajifanya Kuwa Yupo Neutral Na Usisahau Kwamba Wengi Waliopo Katika Taasisi Hiyo Ya Mwalimu Nyerere Walikuwa Ndiyo Washauri Wake Wakuu Mzee Mkapa Wakati Wa Utawala Wake Na Hata Sasa Amestaafu Lakini Muda Mwingi Huwa Nao Na Wanashirikiana Katika Masuala Mengi Tu.

Hivi Majuzi Wakati Mzee Mkapa Akiwa Kanda Ya Ziwa Kama Utakumbuka Na Mtakumbuka Pia Aliweza Kufanya Mazungumzo Ya Faragha Na Mzee Mwenzie Samuel Sitta Na Maneno Aliyosikika Akisema Mzee Mkapa Kumwambia Mzee Sitta Ni Kwamba Wasifanye Kosa Kubwa Na Watakalokuja kulijutia Huko Mbeleni Kwa Kumpitisha Jaji Mstaafu Agustino Ramadhan Kwani Kwa Mujibu Wa Mzee Mkapa Alisema Kuwa Jaji Mstaafu Hana Ufahamu Mzuri Wa Siasa Za Ndani Na Nje Ya Tanzania Na Kwamba CCM Inaweza Ikapoteza Kura Nyingi ILA Kura Yake Yote Mzee Mkapa Ipo Kwa Dr. John Pombe Magufuli Na Professor Sospeter Muhongo Na Kwa Habari Za Ndani Zinasema Kuwa Kumbe Hata JK Sasa Na Yeye Ameungana Mkono Na Mzee Mkapa Katika Kutaka Nchi Wapewe Hao Wawili Niliowataja Hapo Juu Huku JK Akimwongeza Mtu Mmoja Ambaye Ni Mzee Samuel Sitta Na Ameamua Kumtosa Membe Ili Kukiepusha Chama Na Mgawanyiko Mkubwa Endapo Lowassa au Membe Mmoja Wapo Angepitishwa Na Kwa Kumalizia Tu Ni Kwamba Kuna Strategy Kubwa Sana Ambayo Imetumika Kutaka Wagombea Hao Watatu Magufuli, Muhongo Na Sitta Wapitishwe Ili CCM Ipate Kura Zote Za Kanda Ya Ziwa Ambapo Hakuna Ubishi Huko Ndiko Kiburi Chote Cha CCM Kuwepo Madarakani Na Pengine Hata Kuendelea Kuwepo Madarakani.

Niliposema Nyuma Kuwa Si Lowassa au Membe Atakayepitishwa Nilionekana Kama Vila MTAMBO Fulani Ila NILIYOYASADIKI Yote Sasa Yanaanza KUJIDHIHIRI Na Kesho Mchana Mtanipigia SALUTE Humu Wote Na Kama Haitoshi Jumamosi Jioni Saa 12 au Jumapili Saa 10 Jioni MTANIVULIA Kofia Na Wale Wote Mliokuwa MNANIDHIHAKI Humu MTAONA Aibu.
 
Thread hii ni moja ya thread nzito sana kupatikana JF lakini mpaka sasa wakati watu wakikuna vichwa kwa maudhuhi wa ujumbe huu kuna taarifa toka vyanzo nyuma ambavyo si rahisi kuvisibitisha hivi sasa lakini kuna jibu la thread hii kupatikana haraka iwezekanavyo kuwa MCHUNGAJI AMEKANUSHA KUWA SI ALIYESEMA HAYA MAUDHUI.Kuna tetesi kuwa amekanusha kuhusika na ujumbe huu mzito kwenye maswala nyeti kabisa ambayo yamelikumbuka Taifa letu.

Napata shida kama account hii ni VERIFIED USER iweje AKANUSHE KUANDIKA THREAD HII.Je ni kweli si yeye aliyetamka haya wenye akili zao bado wanakuna vichwa kwa thread hii na uenda muda si mrefu watakuwa wamepata majibu halisi ya Maudhui haya na nani muhusika na kama si yule Watanzania wanaemtambua kwa jina la Rev Mtikila au Mchungaji Mtikila.

MUDA SI MLEFU...Punde si Kidogo Ukweli Utakuwa wazi,..Manake tuhuma zilizomo humo ni nzito sana si za kuletwa hapo wakati huu na uenda zimeletwa kwa madhumuni ya kuaharibu mahusiano mema ya baadhi ya watu fualni fulani kwa mambo yasiyo halisia..Kuna uwezekano pia kuchafuana kwa baadhi ya watu wenye heshima zao ili tu basi wachafuke kwenye uso wa watu.Tunasubilia Kusikia KANUSHO TOKA KWA MCHUNGAJI MTIKILA KAMA AMBAVYO IMESIKIKA KUWA HAUSIKI NA KUWA MANENO HAYO YAMEVISHWA KWENYE KINYWA CHAKE.
 



Halafu na mshangaa sijawahi sikia chaguzi za Ndani ya Chama Chake!.... Ama yeye ni mwenyekiti wa kudumu..?
Mimi hata katibu simjui anyway afanye vyovyote majambazi yang'oke oktoba!
 
Pia, mchungaji Mtikila makala yake imesheheni ubaguzi na uadui wa dhahiri dhidi ya Waislamu.

Mbaya kabisa hizo elements za kibaguzi.

Sio waislam tuu linaowachukia,hili fake pastor lina chuki na wahindi,watutsi etc,huyu mwehu angekuwa Raisi ile nchi itaingia vita..ni wa kumpuuza na siasa zake za kikoloni,na kishagundua namna ya kutengeneza pesa ni kufungua kesi mwehu huyu.
 
Ukishakula nyama ya mtu utaendelea tu. Mkapa lowaaa rostam na mafidi Wengine wa ccm ufisadi upo kwenye damu
 
Rev Mtikila made sense until the time he started to show his hatred to other religion and discriminating other human race, he sound much more like is bankrupt with idea.
 
Kweli Uchaguzi wa Tanzania ndio 'the biggest show in Tanzania'
na JF ndio 'the place to be'

Sasa Mtikila kajoin JF maalum kwa uchaguzi huu

kweli Tanzania kila siku kuna jipya

Muda wa kupata posho kwa kutumia kipaji ulichojaaliwa.
Usishangae kesho anakuja kumsifu Lowassa!!

Wewe hushangai asivyompenda Mwalimu lakini kwenye thread yake anamtumia kama reference!
Lini Mtikila akamtaja Mwalimu Nyerere na asimtukane au kumkashifu!!

Na sinema inaendelea.
 
Kama ni ww Rev. Mtikila... unajua watu wanajua ww ni kichaa..!? Hilo ni moja..!!

Pili, unajua ulipewa hela zaidi ya mil. 100 na Rostam, na ukapokea, na ukasema ni mtu mzuri mzalendo...!!?

Hizo Mil 100 ulichukujua za nn..!? na ww ni fisadi mla rushwa, mbaya zaidi ni kichaa...!!!!

Ww si wa kutueleza huu upuuzi, ulikaa kimyaaa muda, ukajua sasa hivi UTAPEWA FEDHA KAMA ZILE Mil 100...

Ur opportunist, tena mentally deformed and destructed...!!!

Mchumia tumbo wee..!!!
 
Back
Top Bottom