aretaskimario
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 527
- 246
labda imuingie mamako...
Imekuumaeeeeeeeeeeeeeee
labda imuingie mamako...
Kwani wewe ulikuwa bado hujajua kuwa nchi yetu ilikuwa imekaribia sana kupigwa bei kwa wafanyibiashara wakubwa hapa nchini na wawekezaji wa nchi za nje?
Kutokana na tukio la kukamatwa hizo milioni 700 ndiyo tunaukumbuka wosia muhimu sana aliotuachia Mwalimu Nyerere aliposema Ikulu kuna biashara gani hadi mtu aikimbilie Ikulu kwa nguvu zake zote huku anatumia mabilioni kuhonga wapiga kura?
Aliendelea kusisitiza kuwa mgombea wa namna hiyo ni wa kumuogopa kama ukoma.
Hata hivyo waTz wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunalazimika kuvipongeza vikao vya kamati ya maadili ya CCM, kikao cha CC na kikao cha NEC ya CCM kwa kuirescue nchi yetu 'kupigwa bei' kutokana na kitendo chao cha kishujaa na kizalendo cha kuwakata baadhi ya wagombea 'wazito' ambao kutokana na matumizi yao makubwa sana ya mabilioni ya shilingi wakati wa kutangaza nia, ambapo ilikuwa dhahiri mabilioni hayo ya shilingi walikuwa wamepewa na wafanyibiashara wakubwa hapa nchini, ambapo ni dhahiri pia kulikuwa na makubaliano na wagombea hao ya kurejeshewa mabilioni hayo waliyoyawekeza pamoja na 'riba' kubwa mara tu watu wao hao watakapokuwa wametinga Ikulu!
Mamake ndio mwanamke mwenzio??!!
Nani kasema ni million700,na kwamba zimetolewa na manji?pia ni nani alilenga kuhonga wajumbe hao?ni vema tusubiri uchunguzi wa vyombo vya dola ukamilike ili tuwe na la kusema.
mkuu we ni mtu wa ajabu sana,ni ccm hiyo hiyo iliyoko madarakani ndo unasema ilikaribia kupiga bei nchi na hiyo hiyo ndo unasema imeokoa jahazi.binafsi nashindwa hata kukuelewa.hii hii ccm iliyoko madarakani ndo imekuwa ikiuza nchi na hii hii ndo unasema imeokoa nchi kuuzwa.mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?
Hatuwabagui kama unavyotaka kuaminisha.Tunawakataa kwa kutufanyia mambo ambayo mtu asiye kuwa Mhindi hawezi kuyafanya India hivyo hatuko tayari kuona wanadharirisha nchi yetu na Watu wake hata kama ni masikini.Moderators ondoeni thread kama hizi zenye elements za kibaguzi...ilitosha kuwataja Manji na Rostam na sio kuwahusisha wahindi wote...tunaposema Chenge ni Mwizi basi hatumaanishi kabila lake pia ni wezi
Halafu huyo wanaomtajataja alishatoa changamoto wapeleke ushahidi.Cha ajabu anasemwa Lowasa tu, kumbe wote wameoza. Kama wanachukia rushwa kweli wamkamate Manji!
Kwa mtu mtafutaji angeweza kufanya chochote kujikwamua. Hakika atabaki kama alivyoDereva alipo fika hotelini wakati mhindi anapakia hayo mabegi ya hela mhindi alikuwa anamwambia jamaa akae mbali kidogo na gari! hata jamaa siamin kama angeweza kuchomoka na gari
Nani kasema ni million700,na kwamba zimetolewa na manji?pia ni nani alilenga kuhonga wajumbe hao?ni vema tusubiri uchunguzi wa vyombo vya dola ukamilike ili tuwe na la kusema.
Namoonea huruma sana dereva tax aliyembeba mwasibu Wa quality group aliyempeleka hotelini na mabagi ya hela na sasa akapigiwa simu ya kumrudisha
1. Kwa mtu mjanja , msaka not, angeweza kusoma kampeleka MTU Wa aina gani hotelini
2. Wakati anaitwa tena alijrngewa mazingira ya kujikwamua akambwela mbela, very sory brother , milioni 720 hahah hah hah ,
Hata mungu angemsifu kwa kuwaokoa watanzania kwasababu hata huko ziliko sasa watazigawana zote
Kwa hiyo huyo aliyekamatwa anahusika vipi ma Membe?? naona mara yeye ni wa teamlowassa mara membe! SIELEWI! Ebu naomba tufumbue macho " vipofu".